Diana Makenzi, 21, ni mtaalamu wa mapambo na mitindo ya mavazi kutoka eneo la Tala, Kaunti ya Machakos. Anapenda kuchora na kusikiliza...
Sharon Kitalal, 21, ni mwanafunzi wa ulimbwende kutoka Chuo Kikuu Cha Eldoret. Uraibu wake ni kuchora na kusakata kambumbu. Picha/Richard...
Jane Rose Nyambura 24 ni mzaliwa wa kaunti ya Muranga na mwanafunzi wa uzamili katika Chuo Kikuu cha Eldoret. Anapenda kusafiri na...
Beatrice Ngetich, 24, ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Kabarak mjini Nakuru. Uraibu wake ni kupika na kuogelea. Picha/Richard Maosi
Ruth Jepchirchir, 27, ni mwanamitindo na anafanya utafiti katika Chuo Kikuu cha Moi, Kaunti ya Uasin Gishu. Anapenda kusafiri na...
Linet Kwamboka, 24, ni mfanyibiashara kutoka kaunti ya Uasin Gishu. Uraibu wake ni kupika na kusafiri. Picha/Richard Maosi
Waridi Judy, 20, ni mwigizaji na mwanamuziki wa kizazi kipya kutoka jijini Nairobi. Wakati mwingi anapenda kusafiri na kusakata densi....
Euphy Awuor, 23, ni mkazi jijini Nairobi. Anapenda kuigiza filamu na kukutana na marafiki wapya. Picha/Richard Maosi
Blessing Sein ana miaka 22. Yeye ni mzaliwa wa Kaunti ya Narok lakini hivi sasa anajishughulisha na mitindo ya mavazi ya kiasili. Uraibu...
Josephine Odindo, 22, ni mwigizaji wa filamu Nakuru. Uraibu wake ni kusoma na kusikiliza muziki wa kizazi kipya. Picha/Richard Maosi
Angie Shomari, 24, ni mfanyibiashara wa Nairobi. Uraibu wake kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi
Waridi Mogore, 21, ni mwanafunzi katika Chuo cha NIBS mjini Nakuru. Yeye ni mwanamitindo na mwanamuziki chipukizi anayependa kujumuika na...