• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 1:24 PM

BI TAIFA NOVEMBA 24, 2019

Diana Makenzi, 21, ni mtaalamu wa mapambo na mitindo ya mavazi kutoka eneo la Tala, Kaunti ya Machakos. Anapenda kuchora na kusikiliza...

BI TAIFA NOVEMBA 23, 2019

Sharon Kitalal, 21, ni mwanafunzi wa ulimbwende kutoka Chuo Kikuu Cha Eldoret. Uraibu wake ni kuchora na kusakata kambumbu. Picha/Richard...

BI TAIFA NOVEMBA 22, 2019

Jane Rose Nyambura 24 ni mzaliwa wa kaunti ya Muranga na mwanafunzi wa uzamili katika Chuo Kikuu cha Eldoret. Anapenda kusafiri na...

BI TAIFA NOVEMBA 21, 2019

Beatrice Ngetich, 24, ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Kabarak mjini Nakuru. Uraibu wake ni kupika na kuogelea. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA NOVEMBA 20, 2019

Ruth Jepchirchir, 27, ni mwanamitindo na anafanya utafiti katika Chuo Kikuu cha Moi, Kaunti ya Uasin Gishu. Anapenda kusafiri na...

BI TAIFA NOVEMBA 19, 2019

Linet Kwamboka, 24,  ni mfanyibiashara kutoka kaunti ya Uasin Gishu. Uraibu wake ni kupika na kusafiri. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA NOVEMBA 18, 2019

Waridi Judy, 20, ni mwigizaji na mwanamuziki wa kizazi kipya kutoka jijini Nairobi. Wakati mwingi anapenda kusafiri na kusakata densi....

BI TAIFA NOVEMBA 17, 2019

Euphy Awuor, 23,  ni mkazi jijini Nairobi. Anapenda kuigiza filamu na kukutana na marafiki wapya. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA NOVEMBA 16, 2019

Blessing Sein ana miaka 22. Yeye ni mzaliwa wa Kaunti ya Narok lakini hivi sasa anajishughulisha na mitindo ya mavazi ya kiasili. Uraibu...

BI TAIFA NOVEMBA 15, 2019

Josephine Odindo, 22, ni mwigizaji wa filamu Nakuru. Uraibu wake ni kusoma na kusikiliza muziki wa kizazi kipya. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA NOVEMBA 14, 2019

Angie Shomari, 24, ni mfanyibiashara wa Nairobi. Uraibu wake kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA NOVEMBA 13, 2019

Waridi Mogore, 21, ni mwanafunzi katika Chuo cha NIBS mjini Nakuru. Yeye ni mwanamitindo na mwanamuziki chipukizi anayependa kujumuika na...