Waridi Judy, 20, ni mwigizaji na mwanamuziki wa kizazi kipya jijini Nairobi. Anapenda kusafiri na kusakata densi. Picha/Richard Maosi
Josephine Odindo, 22, ni mwigizaji kutoka kaunti ya Nakuru, yeye ni mwanafunzi wa chuo kimoja hapa na akipata muda anapenda kuigiza na...
Mary Jepkoech, 24, ni mwanamitindo wa kaunti ya Uasin Gishu. Hivi sasa anasomea taaluma ya uanahabari katika chuo kimoja jijini Nairobi....
Sharon Atieno, 23, ni mwanamitindo kutoka kaunti ya Mombasa. Wakati wake mwingi utamkuta akizuru makavazi na kuogelea. Picha/Richard Maosi
Joyce Mwangeka ni mwanahabari chipukizi kutoka mjini Mombasa. Ana miaka 26. Anapenda kutangamana na marafiki wapya. Picha/Richard Maosi
Jacinta Pendo ni mwanamitindo na mshonaji wa mavazi ya kiasili pamoja na mikufu kutoka mjini Nakuru. Muda wake mwingi anapenda kusakata...
Valerian Lewama ni mzaliwa wa kaunti ya Taita Taveta. Yeye ni mwanamitindo wa mavazi ya kiasili na mapambo. Uraibu wake ni kusikiliza...
Teq Binti Afrique ni mwendeshaji pikipiki shupavu kutoka kaunti ya Kisumu. Pia ni mfanyibiashara na mwanamitindo kutoka Kisumu. Wakati wake...
Anayetupambia tovuti yetu anafahamika kama Phaustine Auma mwenye umri wa miaka 25, yeye ni mfanyibiashara kutoka eneo la Lanet, Nakuru....
Ivy Wachira amehitimu miaka 24, yeye ni mwanafunzi katika chuo kimoja nchini Australia lakini kwa sasa yupo likizoni nchini Kenya. Uraibu...
Joan James, 26, ni mfanyibiashara jijini Nairobi. Anapenda kusoma na kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi
VIVIAN Moraa, 20, ni mwanafunzi wa taaluma ya Uanahabari katika Chuo cha RVIBS, Nairobi. Uraibu wake ni kuigiza. Picha/ Richard Maosi