• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

BI TAIFA NOVEMBA 12, 2019

Waridi Judy, 20, ni mwigizaji na mwanamuziki wa kizazi kipya jijini Nairobi. Anapenda kusafiri na kusakata densi. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA NOVEMBA 11, 2019

Josephine Odindo, 22, ni mwigizaji kutoka kaunti ya Nakuru, yeye ni mwanafunzi wa chuo kimoja hapa na akipata muda anapenda kuigiza na...

BI TAIFA NOVEMBA 10, 2019

Mary Jepkoech, 24, ni mwanamitindo wa kaunti ya Uasin Gishu. Hivi sasa anasomea taaluma ya uanahabari katika chuo kimoja jijini Nairobi....

BI TAIFA NOVEMBA 09, 2019

Sharon Atieno, 23, ni mwanamitindo kutoka kaunti ya Mombasa. Wakati wake mwingi utamkuta akizuru makavazi na kuogelea. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA NOVEMBA 08, 2019

Joyce Mwangeka ni mwanahabari chipukizi kutoka mjini Mombasa. Ana miaka 26. Anapenda kutangamana na marafiki wapya. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA NOVEMBA 06, 2019

Jacinta Pendo ni mwanamitindo na mshonaji wa mavazi ya kiasili pamoja na mikufu kutoka mjini Nakuru. Muda wake mwingi anapenda kusakata...

BI TAIFA NOVEMBA 07, 2019

Valerian Lewama ni mzaliwa wa kaunti ya Taita Taveta. Yeye ni mwanamitindo wa mavazi ya kiasili na mapambo. Uraibu wake ni kusikiliza...

BI TAIFA NOVEMBA 06, 2019

Teq Binti Afrique ni mwendeshaji pikipiki shupavu kutoka kaunti ya Kisumu. Pia ni mfanyibiashara na mwanamitindo kutoka Kisumu. Wakati wake...

BI TAIFA NOVEMBA 05, 2019

Anayetupambia tovuti yetu anafahamika kama Phaustine Auma mwenye umri wa miaka 25, yeye ni mfanyibiashara kutoka eneo la Lanet, Nakuru....

BI TAIFA NOVEMBA 04, 2019

Ivy Wachira amehitimu miaka 24, yeye ni mwanafunzi katika chuo kimoja nchini Australia lakini kwa sasa yupo likizoni nchini Kenya. Uraibu...

BI TAIFA NOVEMBA 03, 2019

Joan James, 26, ni mfanyibiashara jijini Nairobi. Anapenda kusoma na kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA NOVEMBA 2, 2019

VIVIAN Moraa, 20, ni mwanafunzi wa taaluma ya Uanahabari katika Chuo cha RVIBS, Nairobi. Uraibu wake ni kuigiza. Picha/ Richard Maosi