Ann Wangoi ndiye anatupambia ukurasa wetu. Yeye ni mfanyibiashara katika kaunti ndogo ya Molo. Anapenda kuchora, kupika na kuogelea....
Mrembo wetu anafahamika kama Joy Blanca Tavy 21. Yeye ni mwanafunzi katika chuo kimoja mjini Nakuru. Wakati wake mwingi anapenda kusafiri...
ASHER Annex, 23, ni mwanafunzi katika Chuo cha Mwangaza, Nakuru. Uraibu wake ni kuogelea, kusafiri na kukutana na marafiki wapya. Picha/...
Faith Kamini ni mwanafunzi katika chuo kimoja mjini Nakuru. Yeye hutumia wakati wake mwingi kusafiri na kuogelea. Picha/Richard Maosi
Fridah Talaam, 19 ndiye Miss Nakuru 2019/2020. Yeye ni mwanafunzi wa Vera Beauty College Nakuru. Uraibu wake ni kuogelea na kusafiri....
Monica Kamau 25 ni mzaliwa wa Kitale lakini anaishi mjini Nakuru. Yeye ni mfanyabiashara na anapenda kujumuika na marafiki wapya....
Kate Wanderi ni mwanafunzi wa Uanahabari kutoka Chuo Kikuu Cha Laikipia bewa kuu. Uraibu wake ni kusoma, kuogelea na kupika....
Mary Nyawira ni mwanafunzi wa taaluma ya mapambo kutoka Vera Beauty College mjini Nakuru. Yeye ni mshonaji wa mavazi ya kisasa na...
Gloria Katunge 23 ni mkazi wa Mumbuni, Machakos.Yeye ni mfanyibiashara maarufu mjini humo na anapenda kusoma Biblia na Kusafiri....
Cynthia Njoki ni mkazi wa Njoro viungani mwa mji wa Nakuru, anapenda kusafiri na kuogelea. Picha/Richard Maosi
Rose Chepchirchir ni mwanafunzi kutoka Chuo kimoja mjini Nakuru.Kufikia sasa amehitimu miaka 19 anapenda kuchora na kuendesha baiskeli....
Fridah Omuga ni mwanafunzi wa ualimu kutoka Chuo Kikuu Cha Egerton,akipata muda anapenda kusoma mashairi na kujumuika na marafiki....