MARY Mueni, 21, ni mwanamitindo wa jijini. Anapenda kucheza densi, kutazama filamu na kusoma vitabu. Picha/ Anthony Omuya
LYDIA Wairimu, 20, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Anaenzi kusikiliza muziki, kutazama video na kuimba. Picha/ Anthony Omuya
LYDIA Alila, 21, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Uraibu wake ni kusoma vitabu, kuchakura intaneti na kushiriki mashindano ya urembo. Picha/...
LISA Mutia, 21, anatupambia tovuti yetu mwezi huu. Uraibu wake ni kushirika maonyesho ya urembo, kucheza densi na kujipodoa. Picha/ Anthony...
LEAH Wanjiku, 22, ni mpenzi wa uanamitindo. Anapenda kusoma vitabu, kutalii na kutazama filamu. Picha/ Anthony Omuya
IRENE Wanjiru, 20, ni mwanamitindo mjini Thika. Uraibu wake ni kucheza gitaa, kucheza densi na kusikiliza muziki. Picha/ Anthony Omuya
DEBBIE Kwamboka, 22, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Anaenzi kutalii, kuendesha baiskeli na kuogelea. Picha/ Anthony Omuya
LUCY Njoki, 21, anatupambia tovuti yetu siku ya mwisho ya Februari. Anapenda kuimba, kushiriki mashindano ya urembo na kupiga picha. Picha/...
MAUREEN Wairi, 23, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Uraibu wake ni kutazama filamu, kusafiri na kusoma vitabu. Picha/ Anthony Omuya
LISA Kainae, 20, ni mwanamitindo jijini Nairobi. Anapenda kusakata densi, kutazama filamu na kuogelea. Picha/ Anthony Omuya
After a family tragedy, three generations of the Deetz...
Soulmates Eric and Shelly are brutally murdered when the...
When tech billionaire Slater King meets cocktail waitress...