Mercy Wanjiku, 22, ni mwanamitindo na mfanyibiashara kutoka kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kuogelea na kutalii mazingira...
Sharon Blaine ni mwanamitindo maarufu kutoka kaunti ya Kisumu, mbali na kukuza vipaji vya ulimbwende anapenda kujihusisha na majukwaa ya...
Mercy Mesie ni mjasiriamali katika kitengo cha utalii nchini, mbali na kuwahamasisha vijana wajianzishie miradi ya kujiendeleza anapenda...
Sharon Cheptoo, 21, ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu Cha Maasai Mara, Kaunti ya Narok. Uraibu wake ni kusakata kabumbu na kuchora....
Linda Chemuta, 24, ni mzaliwa wa kaunti ya Uasin Gishu. Uraibu wake ni kusafiri, kusakata densi na kusakata kabumbu. Picha/Richard Maosi
Vivian Moraa, 20, ni mzaliwa wa eneo la Keroka kaunti ya Kisii. Ni mwanahabari chipukizi na mtaalamu wa kurekodi muziki. Uraibu wake ni...
Mary Ndindi Mbeti, 23, ni mwanamitindo eneo la Diani, Mombasa na mtaalamu wa masuala ya utalii. Anapenda kutalii, kuogelea na kupika....
Everlyne Kisilu ni mwanamitindo jijini Nairobi. Anapenda kusafiri, kusakata densi na kutazama filamu. Picha/ Richard Maosi
Bi Mary Wambui kutoka Elburgon ni mwanamitindo. Uraibu wake ni kuogelea, kusafiri na kukutana na marafiki. PICHA/JOHN NJOROGE.
Bi Mirriam Wairimu, kutoka Elburgon ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Cooperative jijini Nairobi. Uraibu wake ni kusafiri, kutazama filamu na...
As storm season intensifies, the paths of former storm...
Sparks fly in all directions as marketing maven Kelly...
Gru and Lucy and their girls â Margo, Edith and Agnes...