Bridgit Regina mwenye umri wa miaka 21 ni mzaliwa wa kaunti ya Nairobi, anapenda kufanya mazoezi na kuandika mashairi. Picha/Richard Maosi
Triza Mokeira 23 anafanya kazi katika kiwanda cha kutengeneza bidhaa zinazotokana na ndizi katika kaunti ya Kisii. Uraibu wake ni kupiga...
Wendy Barak 24, ni mkaazi wa eneo la Manyani kaunti ya Nakuru.Yeye ni mtaalam wa kurembesha akina dada.Anapenda kutazama soka na kutazama...
Sylvia Buluma 24,ni mzaliwa wa kaunti ya Kakamega, yeye ni mratibu wa mashindano ya wanamitindo kutoka Bonde la Ufa.Anapenda kulea talanta...
Margret Nyakiriko 27, ni mfanyibiashara kutoka Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kusikiliza muziki na kujumuika na marafiki....
Linda Jemutai ni mzaliwa wa Kaunti ya Uasin Gishu, amehitimu miaka 25. Yeye ni mfanyibiashara kutoka Nakuru. Uraibu wake ni kusakata densi...
Janet Jemutai ni mzaliwa wa kaunti ya Uasin-Gishu, yeye ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kukuu Cha Maasai Mara. Uraibu wake ni...
Winnie Soyo 25 ni mzaliwa wa eneo la Nyahururu kaunti ya Laikipia. Yeye ni mwanafasheni na mwanamitindo. Anapenda kupika, kusafiri na...
Janine Daki ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu Cha Egerton, amehitimu miaka 24, yeye ni mzaliwa wa kaunti ya Nakuru na mshindi wa tuzo...
Mary Rewel mwenye umri wa miaka 24, ndiye anatupambia wavuti wetu , yeye ni mwalimu na mchekeshaji.Uraibu wake ni kusoma majarida na...
Janet Bonyo 24 ni mfanyibiashara kutoka kaunti ya Nakuru, yeye ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu Cha Egerton Njoro. Uraibu wake ni...
Jane Kharim amefikisha miaka 24, yeye ni mwanamitindo na mwanafasheni kutoka kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kusakata densi na kujumuika...