• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

VALENTINO DEI: Buda atupiwa maji taka asiende kwa kimada

Na MWANDISHI WETU KITENGELA MJINI K ALAMENI mmoja mjini hapa alijipata taabani baada ya kumwagiwa maji taka na mkewe ili asiende...

Alilia pasta amsaidie kutaliki mke

NA MWANDISHI WETU MALAA, MACHAKOS Kalameni wa hapa, alimshangaza pasta wa kanisa la mkewe alipomuomba amsaidie kumtaliki...

Demu afichua mumewe amemnyima asali kwa miaka 4

Na TOBBIE WEKESA WANGURU, KIRINYAGA Kipusa mmoja kutoka hapa aliwashangaza wengi alipodai ndoa yake haina ladha. Mwanadada huyo...

Kioja polo akidai kufufua maiti

Na Tobbie Wekesa SINOKO, BUNGOMA KIOJA kilizuka katika mazishi eneo hili baada ya polo kudai ana uwezo wa kumfufua...

Kioja mke kutoa gari la mzee sadaka

Na BENSON MATHEKA MALAA, Machakos KULITOKEA kizaazaa mtaani hapa buda mmoja alipotisha kuwaita polisi kumkamata mkewe na pasta wake...

Afokea pasta kwa kumkataza kuoa kidosho

NA JOHN MUSYOKI MATENDENI, EMBU MUUMINI wa kanisa moja hapa alimkemea pasta kwa kukataa kumsaidia kutafuta kidosho mrembo wa kuoa...

Alazimika kutoa punda kama mahari

Na John Musyoki SIAKAGO, Embu JAMAA mmoja alilazimika kuwapa wakwe zake punda wawili ili kupunguza deni la kulipa...

Mlevi aokoka kwa kunusurika kifo

NA NICHOLAS CHERUIYOT CHEPALUNGU, BOMET KULIKUWA na kioja eneo hili mlevi alipozuru mtaro mmoja hatari ambao alikuwa ametumbukia...

Mke mhanyaji ataka wahame usiku

Na TOBBIE WEKESA KANGEMI, NAIROBI Kioja kilizuka kwenye ploti moja mtaani humu baada ya mwanadada kumshurutisha jamaa kuhama ploti...

Ataka idhini aoe mke wa nduguye

Na TOBBIE WEKESA SINOKO, BUNGOMA Kalameni mmoja kutoka hapa aliwashangaza wengi alipoandaa kikao kuomba idhini ya kumuoa mke wa ndugu...

Kipusa alilia kuolewa na pasta

Na JOHN MUSYOKI OTHAYA, NYERI KIPUSA alishangaza waumini kanisani alipodai kwamba alifunuliwa ndotoni kuwa pasta ndiye...

Mganga ataka nguo za marehemu

Na JOHN MUSYOKI KYETENI, MASINGA KIOJA kilishuhudiwa baada ya mazishi hapa mganga alipotimuliwa mbio alipotaka akabidhiwe nguo za...