Na JOHN MUTUKU SAMUEL UMOJA ONE, Nairobi MIPANGO ya polo wa hapa kuhama nyumba ilivurugika mkewe alipopata chupi ambazo kimada wa...
Na TOBBIE WEKESA MWIKI, NAIROBI KIDOSHO mmoja hakuamini mpenzi wake alipomuacha mataani kwa kukataa kumtimizia haja...
Na TOBBIE WEKESA ROASTERS, Nairobi POLO mmoja alilazimika kula kwa macho baada ya kidosho aliyekuwa akiburudika naye katika baa...
Na TOBBIE WEKESA INGOTSE, KAKAMEGA MAKALAMENI kadhaa waliwashangaza wengi walipovamia mkutano wa wahubiri wa eneo hili wakidai wake...
Na JOHN MUTUKU KARIOBANGI, Nairobi JUMBE za mapenzi ambazo jamaa alitumiwa na 'mipango ya kando' nusura zivuruge ndoa mkewe...
Na JOHN MUTUKU HURUMA, NAIROBI KALAMENI aliyekuwa ametoroka mkewe na wanawe watatu na kupiga kambi katika nyumba ya kimada wake,...
Na JOHN MUSYOKI KIVAA, MASINGA UGOMVI ulizuka katika boma moja hapa, jamaa alipokabiliwa na mke wake wa kwanza kwa kutaka kuuza ploti...
Na TOBBIE WEKESA KIMBO, Ruiru LOFA mkazi wa hapa alipigwa na butwaa baada ya mke wake kufichua kwamba amekuwa akilishwa na mpango...
Na TOBBIE WEKESA BUCHINGA, Mumias KIOJA kilizuka katika kanisa moja la eneo hili baada ya mapolo kumzomea pasta wakidai kwamba...
Na JOHN MUTUKU ROYSAMBU, Nairobi POLO wa hapa amebaki hohehahe baada ya kuibiwa mali yote ya nyumba na mpenzi waliyefahamiana...
Na JOHN MUTUKU LAVINGTON, NAIROBI SHUGAMAMI mtaani hapa alitiririkwa na machozi ya majuto baada ya barubaru aliyemteka kimapenzi,...
Na JOHN MUSYOKI KITENGELA, Kajiado HATUA ya kalameni wa hapa ya kumshtaki mkewe kwa wazazi wake iliambulia patupu alipoangushiwa...