• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 7:12 PM

Mke wa Naibu Rais alia serikali kutaka kudhibiti makanisa

NA WINNIE ONYANDO MKE wa Naibu Rais Rigathi Gachagua, Dorcas Rigathi, sasa anasisitiza kuwa serikali haina uwezo wala mamlaka ya...

Gavana Waiguru apambana kumiliki nyumba ya Sh200 milioni  

Na RICHARD MUNGUTI MZOZO wa umiliki wa nyumba ya Sh200 milioni kati ya Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru na wakili Chris Kabiro umechacha...

Mkurugenzi taabani kwa kulaghai Jimi Wanjigi shamba

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa pili wa kampuni inayodai kuwa mmiliki halisi wa shamba la mwaniaji kiti cha urais mwaka 2022 Jimi...

DCI: Baadhi ya miili Shakahola haikuwa na viungo muhimu

BRIAN OCHARO Na VALENTINE OBARA POLISI wa Idara ya Kuchunguza Uhalifu (DCI) wamedai kuwa, baadhi ya miili iliyofukuliwa katika msitu wa...

Wataalamu: Ushuru mpya utaumiza raia

PETER MBURU Na MARY WANGARI MAPENDEKEZO kuhusu jinsi serikali inapanga kumtoza mwananchi ushuru katika mwaka wa kifedha unaoanza Julai...

Yesu wa Tongaren mashakani akiagizwa kufika kwa polisi

Na JESSE CHANGE KIONGOZI wa Kanisa la New Jerusalem Eliud Wekesa, maarufu kama “Yesu wa Tongaren” ameamriwa kufika kwa polisi...

Raia wa Cameroon asukumwa gerezani kwa ulaghai wa dhahabu

Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Cameroon aliyemlaghai raia wa Iran Sh53.8 milioni ameshtakiwa katika Mahakama ya Milimani. Annouar...

Walanguzi 3 wa dawa za kulevya wakamatwa

NA TITUS OMINDE WASHUKIWA watatu wa ulanguzi wa dawa za kulevya walikamatwa Jumapili na maafisa wa polisi katika Kaunti Ndogo ya...

Ashtakiwa kwa wizi wa baiskeli

Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA wa ujambazi ameshtakiwa kwa wizi wa kimabavu baada ya kupatikana akiwa na baiskeli iliyoporwa na wahuni....

Ashtakiwa kwa kushirikiana na rafikiye kudhulumu dadake kimapenzi

Na RICHARD MUNGUTI MWANAMUME ameshtakiwa kwa kushirikiana na rafikiye kumficha dadake mwenye umri wa miaka 17, na kuishiwa kudhulumiwa...

Wafugaji washtakiwa kwa wizi wa mifugo Nairobi

Na RICHARD MUNGUTI WAFUGAJI watatu wameshtakiwa kwa wizi wa ng’ombe 30 zenye thamani ya Sh1.6 milioni walipokuwa malishoni jijini...

DPP aagizwa awape ushahidi washukiwa wa ulaghai wa dhahabu

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA imempa siku 13 Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya umma (DPP) Noordin Haji kuwapa nakala za ushahidi washukiwa...