Na RICHARD MUNGUTI WAFANYABIASHARA watatu wamenyimwa dhamana katika kashfa ya kusajili magari yaliyokodishwa watu binafsi kuwa...
NA TITUS OMINDE MWANAMUME ambaye amekana kumuua mkewe na mwanawe wa miezi miwili aliambia mahakama ya Eldoret kwamba tangu wawili hao...
NA TITUS OMINDE BINTI wa umri wa miaka 19 alishtakiwa Alhamisi kwa tabia mbaya ya kutusi baba mazazi matusi ya aibu. Hati ya mashtaka...
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto ametoa heshima zake kwa Mama Mukami Kimathi ambaye alifariki Alhamisi usiku. Hadi kifo chake,...
Na RICHARD MUNGUTI MWANAMKE ameshtakiwa kwa kuiba Sh62, 000 na vyeti vya elimu vya binamuye akidai alikuwa anajilipa karo...
Na RICHARD MUNGUTI HAKIMU mkuu mahakama ya Milimani alimwachilia kwa dhamana wakili anayeshtakiwa pamoja na wakurugenzi wawili kwa kula...
Na RICHARD MUNGUTI MZOZO wa muda mrefu wa shamba la ekari 3,000 kati ya familia ya aliyekuwa Meja Generali Joseph Musyimi Ndolo na...
Na RICHARD MUNGUTI MUUZAJI nyama mtaani Zimmerman amekiri kuiba Sh5,000. Mbali na madai ya kuiba pesa za mauzo ya nyama, Amos Mwangi...
NA TITUS OMINDE MCHUUZI maarufu wa pombe haramu kwenye kingo za mto Sossian katika mji wa Eldoret ambaye amekuwa akijifanya kuwa mmoja...
NA TITUS OMINDE ‘BAUNSA’ mmoja kutoka klabu maarufu mjini Eldoret iliyoko kando ya barabara ya Eldoret-Kapsabet ameshtakiwa kwa...
NA VITALIS KIMUTAI POLISI katika Kaunti ya Kericho wanamzuilia pasta mmoja eneo hilo anayeshukiwa kumuua mkewe kufuatia mzozo wa...
NA WAANDISHI WETU JARIBIO la mhubiri Paul Mackenzie, kutaka uhuru wake uligonga mwamba Jumanne mahakama ilipotupa nje ombi...