• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 9:55 AM

Matapeli wa magari kupitia NTSA waona cha mtema kuni

Na RICHARD MUNGUTI WAFANYABIASHARA watatu wamenyimwa dhamana katika kashfa ya kusajili magari yaliyokodishwa watu binafsi kuwa...

Ashangaza kudai anafurahia seli baada ya kutekeleza mauaji

NA TITUS OMINDE MWANAMUME ambaye amekana kumuua mkewe na mwanawe wa miezi miwili aliambia mahakama ya Eldoret kwamba tangu wawili hao...

Baba ashtaki binti yake kwa kumtusi

NA TITUS OMINDE BINTI wa umri wa miaka 19 alishtakiwa Alhamisi kwa tabia mbaya ya kutusi baba mazazi matusi ya aibu. Hati ya mashtaka...

Rais Ruto amwomboleza Mukami Kimathi

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto ametoa heshima zake kwa Mama Mukami Kimathi ambaye alifariki Alhamisi usiku. Hadi kifo chake,...

Mama amwiba binamuye Sh62, 000 kujilipa karo aliyomlipia shule

Na RICHARD MUNGUTI MWANAMKE ameshtakiwa kwa kuiba Sh62, 000 na vyeti vya elimu vya binamuye akidai alikuwa anajilipa karo...

Wakili aachiliwa kwa dhamana katika kesi ya ulaghai wa hisa

Na RICHARD MUNGUTI HAKIMU mkuu mahakama ya Milimani alimwachilia kwa dhamana wakili anayeshtakiwa pamoja na wakurugenzi wawili kwa kula...

Mzozo wa shamba wamtia Mwanawe Meja Jenerali Mstaafu Joseph Ndolo taabani

Na RICHARD MUNGUTI MZOZO wa muda mrefu wa shamba la ekari 3,000 kati ya familia ya aliyekuwa Meja Generali Joseph Musyimi Ndolo na...

Muuzaji nyama taabani kwa kuiba pesa za mauzo

Na RICHARD MUNGUTI MUUZAJI nyama mtaani Zimmerman amekiri kuiba Sh5,000. Mbali na madai ya kuiba pesa za mauzo ya nyama, Amos Mwangi...

Ashtakiwa kwa kujifanya ‘chokoraa’ akiuza chang’aa

NA TITUS OMINDE MCHUUZI maarufu wa pombe haramu kwenye kingo za mto Sossian katika mji wa Eldoret ambaye amekuwa akijifanya kuwa mmoja...

Baunsa taabani kwa kumjeruhi mteja klabuni

NA TITUS OMINDE ‘BAUNSA’ mmoja kutoka klabu maarufu mjini Eldoret iliyoko kando ya barabara ya Eldoret-Kapsabet ameshtakiwa kwa...

Pasta adaiwa kuua mkewe na kutuma mwanawe kumfahamisha chifu

NA VITALIS KIMUTAI POLISI katika Kaunti ya Kericho wanamzuilia pasta mmoja eneo hilo anayeshukiwa kumuua mkewe kufuatia mzozo wa...

Ombi la Mackenzie kuonja uhuru lilivyogonga mwamba

NA WAANDISHI WETU JARIBIO la mhubiri Paul Mackenzie, kutaka uhuru wake uligonga mwamba Jumanne mahakama ilipotupa nje ombi...