• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

Mchuuzi aliyelima wenzake mangumi asamehewa

Na RICHARD MUNGUTI MCHUUZI katika eneo la River Road, jijini Nairobi anayekabiliwa na shtaka la kuwapiga wachuuzi wenzake wawili...

Kindiki ajionea mwenyewe chaka la mauti Shakahola

NA ALEX KALAMA WAZIRI wa Usalama wa Ndani nchini Prof Kithure Kindiki leo Jumanne amefika katika msitu wa Shakahola ambapo zaidi ya...

Wanawake watatu waokolewa msituni Shakahola

NA ALEX KALAMA LEO Jumanne, takriban wanawake watatu wameokolewa kwenye msitu wa Shakahola ulioko katika Kaunti ya Kilifi. Mwanamke...

Tunatathmini mashtaka ya kumfungulia Mackenzie – Haji

NA ALEX KALAMA MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) humu nchini Noordin Haji amesema ofisi yake inatathmini mashtaka ya kumfungulia...

Wakazi wa Shakahola wataka serikali iwajengee kituo cha polisi

NA ALEX KALAMA  JAMII katika eneo la Shakahola, Kaunti ya Kilifi, inaiomba serikali ya kitaifa kujenga kituo cha polisi ili kuboresha...

IG Koome afika Shakahola idadi ya walioangamia ikigonga 50

NA ALEX KALAMA INSPEKTA Jenerali wa Polisi Japhet Koome amewasili katika msitu wa Shakahola ili kujionea mwenyewe hali halisi huku...

Pombe haramu sasa yauzwa vyooni kukwepa polisi

ERIC MATARA Na STEVE NJUGUNA WAUZAJI pombe haramu katika kaunti za Nakuru, Nyeri, Nyandarua na Laikipia wamebuni mbinu chafu ya...

Miili mingine 14 yafukuliwa katika shamba la Mackenzie

Miili mingine 14 yafukuliwa katika shamba la Mackenzie     Na ALEX KALAMA  MIILI 14 ya waumini wa imani potovu inayoongozwa...

Ukimwi: Idadi ya maambukizi mapya yapungua Siaya

NA KENYA NEWS AGENCY KAUNTI ya Siaya imepiga hatua katika vita dhidi ya Ukimwi baada ya maambukizi mapya kupungua kwa asilimia 84 kwa...

STAA WA SPOTI: Huyu Fasila moto otea mbali kambini mwa Ulinzi Starlets

NA AREGE RUTH KATIKA kipindi kifupi cha uhamisho wa wachezaji kwenye Ligi Kuu ya Wanawake (KWPL) mwezi Machi, wanajeshi wa Ulinzi...

Wanakarate chipukizi wapandishwa gredi

NA LAWRENCE ONGARO WANAKARATE chipukizi wapatao 34 walipata gredi tofauti katika zoezi la kutambua ujuzi wao katika hafla iliyofanyika...

Mhubiri Paul Mackenzie asusia chakula kizuizini

NA ALEX KALAMA IMEBAINIKA ya kwamba tangu kuanza kufanyika kwa operesheni ya kuchunguza makaburi ambayo ndani walizikwa watu walioaga...