Na RICHARD MUNGUTI MCHUUZI katika eneo la River Road, jijini Nairobi anayekabiliwa na shtaka la kuwapiga wachuuzi wenzake wawili...
NA ALEX KALAMA WAZIRI wa Usalama wa Ndani nchini Prof Kithure Kindiki leo Jumanne amefika katika msitu wa Shakahola ambapo zaidi ya...
NA ALEX KALAMA LEO Jumanne, takriban wanawake watatu wameokolewa kwenye msitu wa Shakahola ulioko katika Kaunti ya Kilifi. Mwanamke...
NA ALEX KALAMA MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) humu nchini Noordin Haji amesema ofisi yake inatathmini mashtaka ya kumfungulia...
NA ALEX KALAMA JAMII katika eneo la Shakahola, Kaunti ya Kilifi, inaiomba serikali ya kitaifa kujenga kituo cha polisi ili kuboresha...
NA ALEX KALAMA INSPEKTA Jenerali wa Polisi Japhet Koome amewasili katika msitu wa Shakahola ili kujionea mwenyewe hali halisi huku...
ERIC MATARA Na STEVE NJUGUNA WAUZAJI pombe haramu katika kaunti za Nakuru, Nyeri, Nyandarua na Laikipia wamebuni mbinu chafu ya...
Miili mingine 14 yafukuliwa katika shamba la Mackenzie Na ALEX KALAMA MIILI 14 ya waumini wa imani potovu inayoongozwa...
NA KENYA NEWS AGENCY KAUNTI ya Siaya imepiga hatua katika vita dhidi ya Ukimwi baada ya maambukizi mapya kupungua kwa asilimia 84 kwa...
NA AREGE RUTH KATIKA kipindi kifupi cha uhamisho wa wachezaji kwenye Ligi Kuu ya Wanawake (KWPL) mwezi Machi, wanajeshi wa Ulinzi...
NA LAWRENCE ONGARO WANAKARATE chipukizi wapatao 34 walipata gredi tofauti katika zoezi la kutambua ujuzi wao katika hafla iliyofanyika...
NA ALEX KALAMA IMEBAINIKA ya kwamba tangu kuanza kufanyika kwa operesheni ya kuchunguza makaburi ambayo ndani walizikwa watu walioaga...