• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 8:46 PM

Wakora wavamia akaunti za Vyombo vya Habari na kuchapisha taarifa za kupotosha

Na SAMMY WAWERU WAHUNI wamevamia akaunti za vyombo vya habari, na kuchapisha habari za kupotosha.  Katika visa vya hivi punde,...

Madereva 2 watozwa faini jumla Sh170, 000 kwa kusababisha maafa

Na RICHARD MUNGUTI MADEREVA wawili wametozwa faini ya jumla ya Sh170, 000 kila mmoja kwa kuwaua watu wawili katika ajali za barabara...

Apewa talaka kwa kutotii dini, miraa ikichangia

Na STEPHEN ODUOR MWANAMKE mmoja katika eneo la Bura, Kaunti ya Tana River ameomba talaka kutoka kwa mumewe akidai kuwa jamaa huyo...

Wa Iria achemka kuambiwa Raila ‘hatakikani’ Murang’a

NA LAWRENCE ONGARO ALIYEKUWA Gavana wa Murang'a Bw Mwangi Wa Iria amesema viongozi wa Mlima Kenya wanastahili kujitokeza wazi na kutetea...

Watano washtakiwa kwa ulaghai wa simu

Na RICHARD MUNGUTI MFANYAKAZI wa kampuni ya Safaricom ni miongoni mwa watu watano walioshtakiwa kwa ulaghai wa kadi ya simu Safaricom...

Ruto ateua Isaac Melly kuwa kamishna wa SRC

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amempendekeza aliyekuwa Seneta wa Uasin Gishu Isaac Melly kuwa Kamishna wa Tume ya Kukadiria...

Kampuni ya maji yajengea shule darasa la kisasa

NA LAWRENCE ONGARO KAMPUNI ya maji ya Thika (THIWASCO) imejitolea kujenga darasa moja katika Shule ya Msingi ya Gatuanyaga, Thika...

Unga: Chapa zinazopendwa zingali ghali

NA CHARLES WASONGA SERIKALI sasa inasema bei ya unga wa mahindi imeanza kushuka, ishara kuwa gharama ya maisha inayowaathiri Wakenya wengi...

Huduma ya simu kusaidia kudhibiti maradhi yasiyoambukizwa

NA PAULINE ONGAJI SASA utaweza kupata vidokezo kuhusu jinsi ya kuzuia, kutambua na kudhibiti maradhi yasiyoambukizwa (NCDs). Hii ni...

Gachagua: Pombe Mlima Kenya imegeuza wanaume kuwa goigoi

NA ALEX KALAMA NAIBU Rais Rigathi Gachagua ameachilia kombora la utani kwa wanaume wa eneo la Kati, akidai wameshindwa na majukumu...

Bei ya mafuta yabaki pale pale

NA CHARLES WASONGA NI afueni kidogo kwa wenye magari na Wakenya kwa ujumla baada ya serikali kudumisha bei ya sasa ya mafuta kwa kipindi...

Wake wa Magavana nao wataka ofisi zao zitengewe mgao bajeti

NA MARTIN MWAURA MUUNGANO wa Wake wa Magavana Nchini unataka watengewe mgao wa fedha ili kufadhili miradi ambayo wanazamia katika kaunti...