Na SAMMY WAWERU WAHUNI wamevamia akaunti za vyombo vya habari, na kuchapisha habari za kupotosha. Katika visa vya hivi punde,...
Na RICHARD MUNGUTI MADEREVA wawili wametozwa faini ya jumla ya Sh170, 000 kila mmoja kwa kuwaua watu wawili katika ajali za barabara...
Na STEPHEN ODUOR MWANAMKE mmoja katika eneo la Bura, Kaunti ya Tana River ameomba talaka kutoka kwa mumewe akidai kuwa jamaa huyo...
NA LAWRENCE ONGARO ALIYEKUWA Gavana wa Murang'a Bw Mwangi Wa Iria amesema viongozi wa Mlima Kenya wanastahili kujitokeza wazi na kutetea...
Na RICHARD MUNGUTI MFANYAKAZI wa kampuni ya Safaricom ni miongoni mwa watu watano walioshtakiwa kwa ulaghai wa kadi ya simu Safaricom...
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amempendekeza aliyekuwa Seneta wa Uasin Gishu Isaac Melly kuwa Kamishna wa Tume ya Kukadiria...
NA LAWRENCE ONGARO KAMPUNI ya maji ya Thika (THIWASCO) imejitolea kujenga darasa moja katika Shule ya Msingi ya Gatuanyaga, Thika...
NA CHARLES WASONGA SERIKALI sasa inasema bei ya unga wa mahindi imeanza kushuka, ishara kuwa gharama ya maisha inayowaathiri Wakenya wengi...
NA PAULINE ONGAJI SASA utaweza kupata vidokezo kuhusu jinsi ya kuzuia, kutambua na kudhibiti maradhi yasiyoambukizwa (NCDs). Hii ni...
NA ALEX KALAMA NAIBU Rais Rigathi Gachagua ameachilia kombora la utani kwa wanaume wa eneo la Kati, akidai wameshindwa na majukumu...
NA CHARLES WASONGA NI afueni kidogo kwa wenye magari na Wakenya kwa ujumla baada ya serikali kudumisha bei ya sasa ya mafuta kwa kipindi...
NA MARTIN MWAURA MUUNGANO wa Wake wa Magavana Nchini unataka watengewe mgao wa fedha ili kufadhili miradi ambayo wanazamia katika kaunti...