• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 4:23 PM

IPOA yachunguza maafisa wa usalama wanaodaiwa kuua raia Nithi na Lamu

ALEX NJERU Na KALUME KAZUNGU MAMLAKA Huru ya Kuangalia Utendakazi wa Polisi (IPOA) imeanzisha uchunguzi kuhusu vifo tata vya watu wawili...

Aliyejenga kijumba ndani ya nyumba kujificha akiona

NA RICHARD MUNGUTI MSEMO kwamba mkono wa sheria ni mrefu ulitimia Aprili 6, 2023 polisi walipogudua pango alimokuwa anajificha mwanamke...

Viongozi wa kanisa, wanasiasa watofautiana kuhusu Mukumu Girls’

NA SHABAN MAKOKHA VIONGOZI wa Kanisa Katoliki Kaunti ya Kakamega wakiongozwa na Askofu Joseph Obanyi, wametofautiana na wanasiasa kuhusu...

Kongamano la siku tatu MKU lanogesha biashara Thika

NA LAWRENCE ONGARO KONGAMANO la siku tatu linalojumuisha vyuo vikuu kadha vya bara Afrika lilifanyika katika Chuo Kikuu cha Mount Kenya...

Yesu wa Tongaren mafichoni akidaiwa kukataa ‘kufia dhambi za Wakenya’

NA SAMMY WAWERU MHUBIRI anayejitambua kama Yesu Wa Tongaren, kutoka Kaunti ya Bungoma Ijumaa amedaiwa kuenda mafichoni kufuatia tishio...

Waliofanya kazi ya IEBC kusubiri zaidi malipo yao ya Sh1.9bn

NA MARY WANGARI WAKENYA waliotoa huduma zao na bidhaa kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) katika uchaguzi mkuu uliopita na...

Wito Kenya Power itumie tariff maalum kwa kampuni za maji

NA ALEX KALAMA WABUNGE katika kaunti ya Kilifi wamepewa changamoto kupeleka mswada bungeni ili kuhakikisha kuwa kampuni ya umeme nchini...

Karen Nyamu ‘ashambuliwa’ na binamuye Samidoh

NA SAMMY WAWERU BINAMUYE muimbaji hodari wa nyimbo za Mugithi Samuel Muchoki, Bernice Saroni amemsuta seneta maalum Karen Nyamu kwa...

Joshua Arap Sang apendekeza Eric Omondi apelekwe kituo cha kurekebisha tabia

NA SAMMY WAWERU MTANGAZAJI tajika wa redio Joshua Arap Sang amependekeza mcheshi Eric Omondi apelekwe katika kituo cha kurekebisha...

Mafuriko yaathiri usafiri katika kaunti za Homa Bay na Kajiado

GEORGE ODIWUOR Na STANLEY NGOTHO USAFIRI umeathirika pakubwa katika vijiji viwili katika eneo la Suba, Homa Bay baada ya daraja...

Akiri kuua mkewe ‘kwenye fumanizi akizini’

NA BRIAN OCHARO MWANAMUME amekiri kosa la mauaji ya mkewe, akidai alifanya hivyo alipomfumania akizini na mwanamume mwingine nyumbani...

Khalwale: Mwalimu mkuu wa Mukumu akome kuingilia vyombo vya habari

NA WANGU KANURI SENETA wa Kakamega Boni Khalwale amemsuta mwalimu mkuu wa Shule ya Wasichana ya Sacred Hearts Mukumu, Fridah Ndolo, kwa...