• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 4:42 PM

LSK yaonya kuhusu hatari ya kusafiria gari lisilo na bima

NA MWANGI MUIRURI  RAIS wa Muungano wa Wanasheria katika Kaunti ya Murang'a Bw Alex Ndegwa ameonya wenyeji dhidi ya kukodisha magari...

Tanzia: ‘Tiktoker’ maarufu Brian Chira aaga dunia kufuatia ajali

NA WANDERI KAMAU MSANII Brian Chira, mtumiaji maarufu wa mtandao wa Tiktok kufikisha ujumbe kwa mashabiki wake, ameaga dunia. Kulingana...

Kasisi anayedaiwa kunajisi msichana tineja arejeshwa rumande

NA LAWRENCE ONGARO KASISI James Kimani Kairu aliyekamatwa akidaiwa kumnajisi mtoto yatima, amerejeshwa rumande dhamana yake ya Sh30,000...

Seneti yapitisha mswada wa Wakenya kuendelea kulipa ushuru wa nyumba

COLLINS OMULO Na CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amepata ushindi katika mpango wa serikali yake kuendelea kuwatoza Wakenya ushuru wa...

Pombe: Shughuli zasimama sokoni Muthurwa washukiwa wakikamatwa

NA SAMMY KIMATU WASHUKIWA 56 wamekamatwa wakati wa msako dhidi ya pombe haramu uliofanyika Muthurwa katika Kaunti ya...

Arati afika kortini kwa kesi ya mji wa Keroka

NA WYCLIFFE NYABERI GAVANA wa Kaunti ya Kisii Simba Arati ametii agizo la Mahakama ya Mazingira na Ardhi ya Nyamira iliyomtaka afike...

Bei ya matumbo yapanda ghafla

NA MWANGI MUIRURI HUENDA mahasla mtaani sasa wawe wakionja nyama kwa wali wa bwerere wa Naibu Rais Rigathi Gachagua baada ya bei ya...

Maajenti wa kifo: Ripoti ya NTSA bodaboda zinavyoangamiza watu  

NA PETER MBURU WAKENYA kote nchini wako katika hatari ya kufariki, kupata majeraha au kulemazwa wakisafiri kwa pikipiki na kuacha familia...

KPC yapiga jeki uhifadhi wa misitu Mombasa

NA WINNIE ATIENO KAMPUNI ya Kenya Pipeline (KPC) kwa ushirikiano na Huduma za Misitu Nchini (KFS) imetia saini mkataba wa maelewano...

Wakataa barabara kupitia hifadhi ya wanyama pori

NA LUCAS BARASA MASHIRIKA 73 ya watetezi wa kuhifadhi mazingira yamewasilisha ombi katika Jopo la Kitaifa la kutatua mizozo ya Mazingira...

Wapigeni risasi wanaoharibu miundo misingi- Kindiki

NA PIUS MAUNDU WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki amewaamuru polisi kupiga risasi na kumuua mtu yeyote anayepatikana akiharibu...

Mwanasiasa kutoka Meru anayedai kwa siku huingiza Sh20 milioni  

NA MWANGI MUIRURI  MWANASIASA Mike Mutembei maarufu kama Makarina, kutoka Kaunti ya Meru ameonya wanaomdhalilisha kuwa maskini, akidai...