NA VITALIS KIMUTAI MWIGIZAJI mashuhuri katika mtandao wa kijamii wa Tiktok Kevin Oselu, almaarufu Baba Mona, na watu wawili walioaminika...
NA SAMMY WAWERU NDOA ya mwimbaji wa nyimbo za Mugithi, Samuel Muchoki maarufu kama Samidoh iko kwenye mizani. Hii ni baada ya mke wa...
Na LEONARD ONYANGO MATUMAINI ya Wakenya kupata umeme nafuu huenda yakadidimia baada ya serikali ya Kenya Kwanza kushikilia kuwa haina...
[caption id="attachment_119544" align="alignnone" width="500"] Mshauri wa masuala ya uchumi katika Ikulu David Ndii na ujumbe wa Twitter...
NA WINNIE ONYANDO RAIS (Mstaafu) Uhuru Kenyatta ambaye anaongoza ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi Nigeria amehakikishia nchi hiyo uchaguzi...
NA SHABAN MAKOKHA FAMILIA moja katika Kaunti ya Kakamega imekumbwa na mshtuko baada ya kuzika mwili wa mtu mwingine kimakosa ikifikiri ni...
NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA gavana wa Migori Okoth Obado (pichani) amepata pigo kubwa mahakama ilipokataa kuamuru kesi ya ufisadi wa...
NA CHARLES WASONGA WANAWAKE na Vijana ndio walipoteza zaidi katika demokrasia ya maelewano ilitumika wakati wa uteuzi wa wagombeaji viti...
NA MAGDALENE WANJA KATIKA masomo yake ya shule ya upili, Bryan Chesoli alitambulika kama mwanafunzi wa kiwango cha kawaida tu. Jambo...
NA DANIEL OGETTA LICHA ya Serikali ya Rais William Ruto kutangaza kuwa itawaondoa Wakenya kutoka kwa minyororo ya kampuni za kutoa mikopo...
NA SAMMY WAWERU MAPENZI hayana mipaka, na kipendacho roho hula nyama mbichi. Mapenzi pia kikohozi, hayafichiki. Isemwavyo, mapenzi ni...
NA SAMMY WAWERU SENETA wa Kakamega Dkt Boni Khalwale amejiunga na familia ya wanaochukua mkopo wa Mpango wa Fedha za Hasla. Mradi...