• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 7:50 AM

Mwili wa mwanamume wapatikana ukining’inia nyumbani South B

Na SAMMY KIMATU MAAFISA wa polisi katika eneo la Makadara wanachunguza kisa ambapo mwili wa mwanamume ulipatikana ukining’inia katika...

Mswada tata wa vyama kujadiliwa Jumatano

IBRAHIM ORUKO na DAVID MWERE KAMATI ya Bunge Kuhusu Sheria imekubali malalamishi ya umma na kuamua kupunguza muda ambao vyama vya siasa...

Kanisa lakosoa chanjo ya lazima

Na MERCY MWENDE KANISA Katoliki limepinga pendekezo la serikali kuwa raia wote wanaotafuta huduma za umma wapate chanjo dhidi ya...

Mwanamke abakwa na kutupwa kwa maji machafu Mukuru

Na SAMMY KIMATU MWANAMKE mwenye umri wa miaka 29 aliokolewa baada ya kudaiwa kubakwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo na...

Matumaini tele daraja la Ngoliba likikaribia kukamilika

Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Ngoliba Thika Mashariki, na eneo la Murang'a watapata afueni wakati ujenzi wa daraja la kisasa...

Mwalimu aliyejichoma aaga dunia akitibiwa

Na BRIAN OJAMAA MWALIMU wa shule ya msingi ya Magemo Fym, kaunti ya Bungoma aliyejichoma kwa kufutwa kazi baada ya kumtunga mimba...

Simanzi wanafunzi 3, dereva wakifariki ajalini

Na MWANGI MUIRURI WANAFUNZI watatu wa shule ya Upili ya Wasichana ya Chogoria na dereva wa matatu walilokuwa wameabiri kuelekea Nairobi...

‘Ukosefu wa maji shuleni ni kikwazo kwa juhudi za kukabiliana na Covid-19’

Na LAWRENCE ONGARO IMEBAINIKA wazi ya kwamba shule nyingi za msingi katika eneo la Thika na vitongoji vyake zinazotegemea kampuni ya...

Msiri wa polisi kwenye kesi ya mauaji ya Willie Kimani alilipwa Sh3,000

Na RICHARD MUNGUTI MSIRI wa maafisa wa polisi aliyetumika kumvizia wakili Willie Kimani aliyeuawa pamoja na mteja wake na dereva wa...

Niliitwa kusaidia utekelezaji wa mauaji ya wakili nikielekea Gikomba – Mshtakiwa

Na RICHARD MUNGUTI MSIRI wa polisi anayeshtakiwa pamoja na maafisa wanne wa polisi kwa mauaji ya kinyama ya wakili Willie Kimani, mteja...

Huzuni naibu wa chifu akidaiwa kuuawa na mkewe

Na GEORGE MUNENE WAKAZI walijawa na huzuni kutokana na kisa ambapo naibu chifu aliuawa kwa kudungwa kisu kufuatia mzozo wa kinyumbani...

Kampuni za kusaga mahindi zasitisha shughuli zao

Na BARNABAS BII KAMPUNI za kusaga mahindi katika maeneo ya Magharibi na Kati mwa Kenya, zimelazimika kusitisha operesheni zao kufuatia...