• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 6:00 PM

Gretsa yatenga Sh100 milioni za upanuzi wa chuo

Na LAWRENCE ONGARO WAHITIMU wapatao 667 wa Chuo Kikuu cha Gretsa mjini Thika, wameshauriwa kutumia ujuzi walio nao bila kupoteza fursa...

Serikali kutathmini VAT inayotozwa mbegu za mboga

Na SAMMY WAWERU SERIKALI itatathmini pendekezo la kupunguza au hata kuondoa ushuru (VAT) unaotozwa mbegu za mboga. Wakulima, kampuni na...

Mshukiwa wa ujambazi auawa kwa kupigwa risasi na polisi Mukuru-Mariguini

Na SAMMY KIMATU MAAFISA wa polisi walimpiga risasi na kumuua mshukiwa mmoja wa ujambazi katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Mariguini,...

Ujenzi kando ya Mto Ngong waelekeza maji katika shule ya Songa Mbele

Na SAMMY KIMATU ONGEZEKO la ujenzi wa nyumba za orofa katika mtaa mmoja wa mabanda kunatishia usalama wa Shule ya watoto wanaoishi na...

Wakulima wa Kiambu wahimizwa kupanda miparachichi na macadamia

Na LAWRENCE ONGARO KILIMO cha parachichi na macadamia ni muhimu kwa kuinua uchumi wa nchi. Mbunge wa Thika Bw Patrick ' Jungle'...

Ahimiza wazazi kulinda watoto wasibebwe na maji

Na KNA GAVANA wa Kwale, Bw Salim Mvurya (pichani), amewashauri wazazi kuwa waangalifu kwa watoto wao wasije wakasombwa na...

Papa Francis amteua askofu mpya Bungoma

Na BRIAN OJAMAA PAPA Francis amemteua Kasisi Monsignor Mark Kadima, kuwa askofu mpya wa Dayosisi ya Kanisa Katoliki ya...

Wito watu wapime kansa ili kupunguza ada za kutibu

Na JUMA NAMLOLA WAKENYA wameshauriwa wapime kama wana kansa au la, ili kupunguza gharama za matibabu kwa kuanza tiba...

Aonya vijana kuwa watajuta wakikosa busara uchaguzini

Na WACHIRA MWANGI KATIBU wa Wizara ya Mawasiliano na Vijana, Bi Esther Koimett (pichani), ameonya vijana kuwa watajuta kwa muda mrefu...

Akina dada 500 wakongamana Thika kupewa hamasisho la kujiendeleza kibiashara

Na LAWRENCE ONGARO AKINA dada 500 walikongamana mjini Thika kupata hamasisho kuhusu biashara. Idadi hiyo inawakilisha jumla ya akina...

Covid: Kagwe aapa kupuuza uamuzi wa korti kuhusu chanjo

RICHARD MUNGUTI na PIUS MAUNDU MAHAKAMA Kuu imepiga breki agizo la Waziri wa Afya Mutahi Kagwe kwamba Wakenya ambao hawatakuwa wamepata...

Jambazi aua mwenzake kwa kisu kimakosa, 2 waangushwa na polisi

Na WANGU KANURI MSHUKIWA wa wizi alimshambulia na kumuua mwenzake walipokuwa wakipigana na mlinzi wa kampuni ya David Engineering jijini...