Na LAWRENCE ONGARO WAHITIMU wapatao 667 wa Chuo Kikuu cha Gretsa mjini Thika, wameshauriwa kutumia ujuzi walio nao bila kupoteza fursa...
Na SAMMY WAWERU SERIKALI itatathmini pendekezo la kupunguza au hata kuondoa ushuru (VAT) unaotozwa mbegu za mboga. Wakulima, kampuni na...
Na SAMMY KIMATU MAAFISA wa polisi walimpiga risasi na kumuua mshukiwa mmoja wa ujambazi katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Mariguini,...
Na SAMMY KIMATU ONGEZEKO la ujenzi wa nyumba za orofa katika mtaa mmoja wa mabanda kunatishia usalama wa Shule ya watoto wanaoishi na...
Na LAWRENCE ONGARO KILIMO cha parachichi na macadamia ni muhimu kwa kuinua uchumi wa nchi. Mbunge wa Thika Bw Patrick ' Jungle'...
Na KNA GAVANA wa Kwale, Bw Salim Mvurya (pichani), amewashauri wazazi kuwa waangalifu kwa watoto wao wasije wakasombwa na...
Na BRIAN OJAMAA PAPA Francis amemteua Kasisi Monsignor Mark Kadima, kuwa askofu mpya wa Dayosisi ya Kanisa Katoliki ya...
Na JUMA NAMLOLA WAKENYA wameshauriwa wapime kama wana kansa au la, ili kupunguza gharama za matibabu kwa kuanza tiba...
Na WACHIRA MWANGI KATIBU wa Wizara ya Mawasiliano na Vijana, Bi Esther Koimett (pichani), ameonya vijana kuwa watajuta kwa muda mrefu...
Na LAWRENCE ONGARO AKINA dada 500 walikongamana mjini Thika kupata hamasisho kuhusu biashara. Idadi hiyo inawakilisha jumla ya akina...
RICHARD MUNGUTI na PIUS MAUNDU MAHAKAMA Kuu imepiga breki agizo la Waziri wa Afya Mutahi Kagwe kwamba Wakenya ambao hawatakuwa wamepata...
Na WANGU KANURI MSHUKIWA wa wizi alimshambulia na kumuua mwenzake walipokuwa wakipigana na mlinzi wa kampuni ya David Engineering jijini...