• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 4:55 PM

Jambazi aua mwenzake kwa kisu kimakosa, 2 waangushwa na polisi

Na WANGU KANURI MSHUKIWA wa wizi alimshambulia na kumuua mwenzake walipokuwa wakipigana na mlinzi wa kampuni ya David Engineering jijini...

Polisi waimarisha usalama mitaani

Na SAMMY KIMATU POLISI wameimarisha doria katika maeneo matatu hatari kwa usalama katika kaunti ndogo ya Starehe,...

Wito wazazi wawafae watoto waimarike kielimu

Na SAMMY KIMATU WAZAZI wameombwa kusaidiana na watoto wao kufanya kazi ya ziada wanafunzi wanayopewa shuleni kukubatia mfumo wa mtaala...

Vyuo vinavyotoa mafunzo ya kilimo vyahimizwa kuwa na kozi fupi za masomo kunoa zaidi wanafunzi, mbali na taaluma wanazosomea

Na SAMMY WAWERU VYUO vinavyotoa mafunzo ya kilimo vimehimizwa kuwa na kozi zinazochukua muda mfupi, mbali na taaluma ambazo wanafunzi...

Polisi watano wapinga tuhuma katika kesi ambapo mahabusu alifariki ndani ya seli

Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA watano wa polisi wanaopinga kushtakiwa kwa mauaji ya mahabusu ndani ya seli wanaomba mahakama kuu isitishe...

Kidero, Orengo wahudhuria Azimio La Umoja badala ya korti

Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Dkt Evans Kidero anayekabiliwa na kesi ya ufisadi wa Sh68 milioni Ijumaa, Desemba 10,...

Walioingiza raia wa Ethiopia watozwa faini ya Sh60 milioni

Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA na dereva wake wametozwa faini ya Sh60 milioni ama watumikie kifungo cha miaka 10 gerezani kwa...

Kinara wa UoN kusomewa hukumu Januari 22 kwa kuidharau mahakama

Na RICHARD MUNGUTI NAIBU Chancela wa Chuo Kikuu cha Nairobi Prof Stephen Kiama huenda akasukumwa jela kwa kukaidi agizo la mahakama...

Mradi wa maji kuimarisha maisha ya wakulima Gatundu

Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa wadi ya Mang'u, Gatundu Kaskazini watanufaika pakubwa kutokana na mradi mkubwa wa maji wa...

Madiwani 15 wa Nyandarua kujibu madai ya kujitengea mamilioni

Na WAIKWA MAINA TUME ya Maadili na Kukabiliana na Ufisadi (EACC) imeagiza madiwani 15 wa Kaunti ya Nyandarua kujibu madai ya kujitengea...

Mshukiwa mmoja akamatwa, polisi wapata lita 38 za pombe haramu Makongeni

Na SAMMY KIMATU MSHUKIWA mmoja amekamatwa na maafisa wa polisi waliofanikiwa kutwaa lita 38 za pombe haramu ya chang’aa wakati wa...

Uhuru arejesha Jamhuri eneo ilikoanzia

Na WANDERI KAMAU RAIS Uhuru Kenyatta jana Jumapili alirejesha maadhimisho ya sherehe za Sikukuu ya Jamhuri katika Bustani ya Uhuru,...