Na LEONARD ONYANGO TUME ya Maadili na Kukabiliana na Ufisadi (EACC) imependekeza kushtakiwa kwa Gavana Fahim Twaha wa Lamu, kwa kukiuka...
Na PETER MBURU MAKALI ya janga la Covid-19 yalilemaza pakubwa uchumi wa biashara ndogondogo nchini, ambapo asilimia 35 ya biashara zote...
Na RICHARD MUNGUTI KIBARUA aliyeiba nakala mbili za Biblia kutoka dukakuu asome aimarishe maisha yake ya kiroho, Jumatano alifikishwa...
Na ANTHONY KITIMO WANASIASA wanaolenga viti mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao lazima watapitia ukaguzi wa kina kulingana na hitaji la...
Na MWANDISHI WETU MAMLAKA ya Bandari za Kenya (KPA) huenda ikalazimika kutengea jamii zenye asili ya nje ya Pwani nafasi zaidi za ajira...
Na RICHARD MUNGUTI KINARA wa Chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi aliidhinisha mradi wa Anglo-Leasing uliosababisha...
Na BRIAN OCHARO KESI dhidi ya raia wa kigeni ambao walishtakiwa kwa madai ya ulanguzi wa dawa ya kulevya, aina ya heroini ya thamani ya...
Na KNA WAGENI ambao wananuia kuzuru maeneo ya Pwani wakati wa shamrashamra za kufunga mwaka, wameshauriwa kuwa waangalifu hasa...
Na WYCLIFFE NYABERI KANISA Katoliki, Dayosisi ya Kisii, limemrudishia Mbunge wa Dagoretti Kaskazini Simba Arati mchango wake wa Sh...
Na LAWRENCE ONGARO VIJANA wameshauriwa kujiepusha na vitendo vya ngono kiholela ili waepuke Ukimwi na magonjwa mengine ya...
Na MARY WANGARI WAPELELEZI kutoka Idara ya Uchunguzi wa Jinai (DCI) mnamo Jumatano, Disemba 1, walimkamata na kumtia kizuizini mwanamke...
Na ANTHONY KITIMO MAMLAKA ya Ukusanyaji Ushuru ya Kenya (KRA) imepanga kupiga mnada mizigo ambayo imechelewa kuchukuliwa katika Bandari...