• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 10:50 AM

Maajenti wa kifo: Ripoti ya NTSA bodaboda zinavyoangamiza watu  

NA PETER MBURU WAKENYA kote nchini wako katika hatari ya kufariki, kupata majeraha au kulemazwa wakisafiri kwa pikipiki na kuacha familia...

KPC yapiga jeki uhifadhi wa misitu Mombasa

NA WINNIE ATIENO KAMPUNI ya Kenya Pipeline (KPC) kwa ushirikiano na Huduma za Misitu Nchini (KFS) imetia saini mkataba wa maelewano...

Wakataa barabara kupitia hifadhi ya wanyama pori

NA LUCAS BARASA MASHIRIKA 73 ya watetezi wa kuhifadhi mazingira yamewasilisha ombi katika Jopo la Kitaifa la kutatua mizozo ya Mazingira...

Wapigeni risasi wanaoharibu miundo misingi- Kindiki

NA PIUS MAUNDU WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki amewaamuru polisi kupiga risasi na kumuua mtu yeyote anayepatikana akiharibu...

Mwanasiasa kutoka Meru anayedai kwa siku huingiza Sh20 milioni  

NA MWANGI MUIRURI  MWANASIASA Mike Mutembei maarufu kama Makarina, kutoka Kaunti ya Meru ameonya wanaomdhalilisha kuwa maskini, akidai...

Maswali mkulima wa kahawa akipata mamilioni, maelfu wakikosa tabasamu  

NA MWANGI MUIRURI NI hali ambayo inaweza tu kutafsiriwa kama muujiza shambani kwa mkulima wa kahawa kutoka Kaunti ya Busia ambaye amejipa...

Mcheshi Kiengei atangaza kuunga mkono Gachagua kukabili pombe haramu Mlima Kenya

NA WANDERI KAMAU MCHESHI maarufu, Muthee Kiengei, mnamo Jumapili, Machi 10, 2024, alitangaza kuunga mkono Naibu Rais Rigathi Gachagua...

Al Shabaab wajeruhi askari 9 

NA CHARLES WASONGA MAAFISA tisa wa polisi wamejeruhiwa baada ya kushambuliwa na wahalifu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al Shabaab...

DPP ataka mganga aliyeachiliwa huru arejeshwe gerezani

NA BRIAN OCHARO MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma anaitaka Mahakama Kuu kumtupa gerezani mganga Stephen Vicker Mangira na wenzake watatu...

Wafungwa wa kike waguswa na moyo wa majaji kuwatembelea

NA LAWRENCE ONGARO WAKATI wa kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, majaji na mahakimu waliwatembelea wafungwa wa kike katika gereza la...

Waziri Murkomen, Kositany wanusurika katika ajali ya ndege

NA MWANDISHI WETU HELIKOPTA iliyombeba Waziri wa Uchukuzi Kipchumba Murkomen na mwenyekiti wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nchini (KAA)...

Ruto amteua dadake Raila kuwa naibu mkuu wa ubalozi mdogo

NA CHARLES WASONGA UKURUBA wa kisiasa kati ya Rais William Ruto na kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga, umeanza kuzaa...