Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Uchunguzi wa Jinai (DCI) George Kinoti Jumatatu alikwepa kufika kortini kuhukumiwa kwa kukaidi agizo la ...
Na AFP ALGIERS, Algeria Tafsiri: CHARLES WASONGA MAWAZIRI Wakuu wawili waliohudumu chini ya utawala wa rais wa zamani wa nchi hiyo...
Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa polisi wa Utawala Koplo Stephen Morogo anayeshtakiwa kwa mauaji ya wakili Willie Kimani Jumatatu alikana...
Na LAWRENCE ONGARO RUNDO la nyuki lilivuruga mazishi katika kijiji cha Makwa kilichoko Gatundu Kaskazini ambapo mzee mmoja alifariki na...
Na BRIAN OCHARO WAFANYABIASHARA walaghai wamegundua mbinu mpya ya kuingiza bidhaa humu nchini kutoka Somalia kupitia Bahari...
Na FAITH NYAMAI BAADHI ya wazazi wamewasilisha ombi katika Bunge la Kitaifa wakitaka kusitishwa kwa utekelezaji wa Mtaala wa Umilisi na...
Na LAWRENCE ONGARO WAZAZI wengi katika vijiji vya Maraba, Nyachaba na Ndarugu, eneo la Juja, wanataka Wizara ya Elimu kuingilia kati...
JOHN MUTUA na GERALD ANDAE WAKENYA wanaotegemea Bima ya Kitaifa ya Afya (NHIF) kuwalipia bili za hospitali, sasa watagharimika...
Na KENYA NEWS AGENCY WAZEE 5,000 wa Nyumba Kumi katika Kaunti ya Kitui sasa wanataka serikali iwape mshahara kwa “kazi ngumu”...
Na GEORGE MUNENE SERIKALI imepiga marufuku sherehe za Mashujaa katika kaunti zote 46 katika juhudi za kuzuia maambukizi ya virusi vya...
Na RICHARD MUNGUTI WAZIRI Msaidizi wa Uchukuzi Chris Obure ana kesi ya kujibu kuhusiana na sakata ya Sh1.3 bilioni ya Anglo-Leasing...
Na FAITH NYAMAI WALIMU wanaofundisha katika shule zinazopatikana jijini Nairobi sasa wana kila sababu ya kutabasamu, baada ya Tume ya...