• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Upasuaji waonyesha daktari alikufa kwa sumu

Na MERCY KOSKEY UCHUNGUZI umebainisha kwamba Dkt James Gakara kutoka Nakuru ambaye aliwaua watoto wake wawili kabla ya kujaribu kujiua,...

Wawili washtakiwa kujifanya wanahabari

Na RICHARD MUNGUTI WANAUME wawili walikamatwa wakijaribu kuingia katika bunge la Seneti wakijifanya kuwa wanahabari. Wawili hao Thomas...

Afisa ajipata taabani kwa kukejeli jaji

Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa polisi aliyechunguza kesi ya sakata ya sukari ya Sh79milioni dhidi ya wakurugenzi watatu wa kampuni ya...

‘Wakenya 103 wamefia Uarabuni tangu 2019’

Na CHARLES WASONGA JUMLA ya Wakenya 103 walioenda kufanya kazi Saudi Arabia na mataifa mengine ya Uarabuni tangu 2019 wamefariki,...

Waziri Keter alishwa faini ya Sh500,000 kwa kufeli kufika mbele ya kamati ya seneti kuhusu kawi

Na CHARLES WASONGA KAMATI ya Seneti kuhusu Kawi imemtoza faini ya Sh500,000 Waziri wa Kawi Charles Keter kwa kufeli kufika mbele yake...

Anayedaiwa kujaribu kuua Kosewe ‘atikisa’ kesi

Na RICHARD MUNGUTI UAMUZI wa kesi ya jaribio la kumuua mmiliki wa hoteli ya Ranalo almaarufu Kosewe uliyumbisha kuhukumiwa kwake...

Polisi waanza kufanya uchunguzi baada ya moto kuchoma magari kwenye gereji

Na SAMMY KIMATU MAGARI 13 yakiwemo ya kifahari yaliteketea katika gereji moja eneo la Cereal Board mkabala wa barabara ya Lunga Lunga,...

Mchoraji vibonzo wa ‘Taifa Leo’ ang’aa

Na MARY WANGARI MCHORAJI vibonzo wa Taifa Leo, Samuel Muigai, almaarufu Igah, ameibuka mshindi katika tamasha la kimataifa kuhusu...

CBC: Kuppet pia wana malalamishi

Na KENYA NEWS AGENCY CHAMA cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo vya Kadri (Kuppet) kimeitaka Wizara ya Elimu kuhusisha wadau wote katika...

Bei ya juu ya gesi yasukuma Wakenya kukumbatia makaa, kuni

Na KENYA NEWS AGENCY IDADI kubwa ya Wakenya sasa wamelazimika kutumia kuni tena kupika vyakula kufuatia kuongezwa kwa bei ya gesi miezi...

Mke amhadaa mumewe kuwa alitekwa

Na CECIL ODONGO MAKACHERO kutoka Idara ya Upelekezi Nchini (DCI) Jumatano walimkamata mke ambaye alihepa ili kuponda raha na mwanaume...

Kikosi cha Uganda chawasili kwa mechi ya kufuzu kushiriki Kombe la Dunia dhidi ya Junior Harambee Starlets

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya soka ya kina dada ya Uganda ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 20 imewasili jijini Nairobi kwa mechi dhidi...