Na MERCY KOSKEY UCHUNGUZI umebainisha kwamba Dkt James Gakara kutoka Nakuru ambaye aliwaua watoto wake wawili kabla ya kujaribu kujiua,...
Na RICHARD MUNGUTI WANAUME wawili walikamatwa wakijaribu kuingia katika bunge la Seneti wakijifanya kuwa wanahabari. Wawili hao Thomas...
Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa polisi aliyechunguza kesi ya sakata ya sukari ya Sh79milioni dhidi ya wakurugenzi watatu wa kampuni ya...
Na CHARLES WASONGA JUMLA ya Wakenya 103 walioenda kufanya kazi Saudi Arabia na mataifa mengine ya Uarabuni tangu 2019 wamefariki,...
Na CHARLES WASONGA KAMATI ya Seneti kuhusu Kawi imemtoza faini ya Sh500,000 Waziri wa Kawi Charles Keter kwa kufeli kufika mbele yake...
Na RICHARD MUNGUTI UAMUZI wa kesi ya jaribio la kumuua mmiliki wa hoteli ya Ranalo almaarufu Kosewe uliyumbisha kuhukumiwa kwake...
Na SAMMY KIMATU MAGARI 13 yakiwemo ya kifahari yaliteketea katika gereji moja eneo la Cereal Board mkabala wa barabara ya Lunga Lunga,...
Na MARY WANGARI MCHORAJI vibonzo wa Taifa Leo, Samuel Muigai, almaarufu Igah, ameibuka mshindi katika tamasha la kimataifa kuhusu...
Na KENYA NEWS AGENCY CHAMA cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo vya Kadri (Kuppet) kimeitaka Wizara ya Elimu kuhusisha wadau wote katika...
Na KENYA NEWS AGENCY IDADI kubwa ya Wakenya sasa wamelazimika kutumia kuni tena kupika vyakula kufuatia kuongezwa kwa bei ya gesi miezi...
Na CECIL ODONGO MAKACHERO kutoka Idara ya Upelekezi Nchini (DCI) Jumatano walimkamata mke ambaye alihepa ili kuponda raha na mwanaume...
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya soka ya kina dada ya Uganda ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 20 imewasili jijini Nairobi kwa mechi dhidi...