• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 10:50 AM

Ruto aahidi kuepuka madeni akiwa rais

Na ANTHONY KITIMO NAIBU Rais William Ruto ameahidi kuunda serikali itakayoepuka madeni akishinda urais kwenye uchaguzi mkuu...

Kila bandari Kenya kuwa na mkurugenzi wake mkuu

ANTHONY KITIMO na BENSON MATHEKA MAMLAKA ya Bandari ya Kenya (KPA), inapanga kubadilisha usimamizi wa bandari ili kila moja iwe chini ya...

Gicheru afananisha afisi ya Bensouda na mchawi asiye na nguvu

Na VALENTINE OBARA WAKILI Paul Gicheru ameiomba Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kutupilia mbali ushahidi ambao unatarajiwa...

Barabara hatari eneo la Ngunguru-Karatina

Na SAMMY WAWERU WAKAZI wa kijiji cha Ngunguru, eneo la Gathogorero, Karatina Kaunti ya Nyeri wanalalamikia barabara hatari inayoendelea...

Wadai taarifa ya pesa zilizotumika kwa BBI

Na WANDERI KAMAU MASHIRIKA ya kutetea haki za umma yanamtaka Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bi Nancy Gathungu, kufanya ukaguzi...

Uhuru na Raila kusafiri kwa garimoshi hadi jijini Kisumu

Na RUSHDIE OUDIA RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa chama cha ODM, Raila Odinga, wiki ijayo wanatarajiwa kufanya safari ya kwanza ya...

Mswada unaolenga kudhibiti ulanguzi wa mihadarati wapitishwa na wabunge

Na CHARLES WASONGA WALANGUZI wa mihadarati watakaopatikana na zaidi ya gramu 100 ya dawa hizo watatozwa faini ya Sh50 milioni au...

Kaunti yasifu basari kwa kuboresha elimu

Na SIAGO CECE SERIKALI ya Kaunti ya Kwale imeahidi kutolegeza kamba katika utoaji basari kwa wanafunzi, kama njia mojawapo ya kuboresha...

Kaunti yatuma maafisa kuzima mzozo wa ardhi

Na CHARLES LWANGA SERIKALI ya Kaunti ya Kilifi imetuma wataalamu kubainisha mpaka kati ya shamba la kunyunyuziwa maji la Galana-Kulalu...

Kocha Sam Allardyce kuagana rasmi na West Bromwich Albion mwisho wa msimu huu

Na MASHIRIKA MKUFUNZI Sam Allardyce amethibitisha kwamba ataagana rasmi na West Bromwich Albion mwishoni mwa msimu huu wa...

Mwanamume ajirusha kutoka orofa ya kumi Mombasa

Na SIAGO CECE MWANAMUME aliaga dunia baada ya kujirusha kutoka orofa ya kumi katika jengo la Imaara, karibu na Hospitali ya Pandya mjini...

Adai kortini akivuta bangi huongeza nguvu za kiume

Na TITUS OMINDE SHAMBABOI alisababisha kicheko katika mahakama ya Eldoret alipodai uvutaji bangi humpa nguvu na uwezo wa kutekeleza...