Na ANTHONY KITIMO NAIBU Rais William Ruto ameahidi kuunda serikali itakayoepuka madeni akishinda urais kwenye uchaguzi mkuu...
ANTHONY KITIMO na BENSON MATHEKA MAMLAKA ya Bandari ya Kenya (KPA), inapanga kubadilisha usimamizi wa bandari ili kila moja iwe chini ya...
Na VALENTINE OBARA WAKILI Paul Gicheru ameiomba Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kutupilia mbali ushahidi ambao unatarajiwa...
Na SAMMY WAWERU WAKAZI wa kijiji cha Ngunguru, eneo la Gathogorero, Karatina Kaunti ya Nyeri wanalalamikia barabara hatari inayoendelea...
Na WANDERI KAMAU MASHIRIKA ya kutetea haki za umma yanamtaka Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bi Nancy Gathungu, kufanya ukaguzi...
Na RUSHDIE OUDIA RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa chama cha ODM, Raila Odinga, wiki ijayo wanatarajiwa kufanya safari ya kwanza ya...
Na CHARLES WASONGA WALANGUZI wa mihadarati watakaopatikana na zaidi ya gramu 100 ya dawa hizo watatozwa faini ya Sh50 milioni au...
Na SIAGO CECE SERIKALI ya Kaunti ya Kwale imeahidi kutolegeza kamba katika utoaji basari kwa wanafunzi, kama njia mojawapo ya kuboresha...
Na CHARLES LWANGA SERIKALI ya Kaunti ya Kilifi imetuma wataalamu kubainisha mpaka kati ya shamba la kunyunyuziwa maji la Galana-Kulalu...
Na MASHIRIKA MKUFUNZI Sam Allardyce amethibitisha kwamba ataagana rasmi na West Bromwich Albion mwishoni mwa msimu huu wa...
Na SIAGO CECE MWANAMUME aliaga dunia baada ya kujirusha kutoka orofa ya kumi katika jengo la Imaara, karibu na Hospitali ya Pandya mjini...
Na TITUS OMINDE SHAMBABOI alisababisha kicheko katika mahakama ya Eldoret alipodai uvutaji bangi humpa nguvu na uwezo wa kutekeleza...