SHANGAZI; Kuna mwanamume anayenitaka kimapenzi. Nampenda lakini nimemwambia anipe muda nifikirie kwani sitaki ahisi amenipata kwa urahisi....
EVANS JAOLA na LABAAN SHABAAN SERIKALI imezindua mpango wa kitaifa wa kuvumisha kilimo cha alizeti (Sunflower) katika mikakati ya kuinua...
NA WINNIE ATIENO KATIBU Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi nchini (COTU), Bw Francis Atwoli, sasa amelalamikia hali ngumu ya maisha...
NA JUSTUS OCHIENG Kwa miaka 80 iliyopita, Seneta wa Siaya Dkt Oburu Oginga hakuwa ametimiza ndoto yake ya kushiriki Sakramenti ya Ushirika...
NA LABAAN SHABAAN KAUNTI ya Bomet haiko tayari kushuhudia marejeleo ya tukio la msururu wa mafuriko ya Chepalungu Aprili 2023. Wakati...
NA MERCY KOSKEI WANAUME hutumia muda mwingi kuchakura mitandaoni kuliko wanawake, Ripoti ya Matumizi ya Muda, ya Shirika la Kitaifa la...
Na BONIFACE KANYALI Hali ya mshikemshike imetanda katika Kaunti ya Kitui haswa maeneo ya Mwingi baada ya gari aina ya pickup...
Na DAVID MUCHUI Kioja kimeshuhudiwa Jumatano Oktoba 18, 2023 eneo la Imenti ya Kati wakati Gavana Kawira Mwangaza alipokamatwa na...
NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI maarufu wa nyimbo za injili kwa lugha ya Kikikuyu kutoka eneo la Kati, Muhiko Nebster, ameaga dunia. Mmoja...
SHANGAZI; Kuna wanaume wawili wanaonitaka kimapenzi. Nimechanganyikiwa kwa sababu kuna mambo tofauti ninayopenda kwa kila mmoja wao....
NA WYCLIFFE NYABERI BAADHI ya wahubiri na makasisi mjini Kisii wamekerwa na mipango ya serikali ya kaunti hiyo kutoza ushuru makanisa...
NA MERCY KOSKEI HOSPITALI ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH) imetangaza kutupa miili ambayo haijachukuliwa katika vyumba vya kuhifadhi maiti...