• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Mwanamume aliniomba penzi, kabla sijamjibu asharukia na kuanza kutongoza rafiki yangu!

SHANGAZI; Kuna mwanamume anayenitaka kimapenzi. Nampenda lakini nimemwambia anipe muda nifikirie kwani sitaki ahisi amenipata kwa urahisi....

Wakulima wasambaziwa mbegu za alizeti kusaidia kupunguza bei ya mafuta ya kupikia

EVANS JAOLA na LABAAN SHABAAN SERIKALI imezindua mpango wa kitaifa wa kuvumisha kilimo cha alizeti (Sunflower) katika mikakati ya kuinua...

Atwoli sasa agutuka kuhusu gharama ya maisha

NA WINNIE ATIENO KATIBU Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi nchini (COTU), Bw Francis Atwoli, sasa amelalamikia hali ngumu ya maisha...

Kanisa latetea Oburu kushiriki sakramenti

NA JUSTUS OCHIENG Kwa miaka 80 iliyopita, Seneta wa Siaya Dkt Oburu Oginga hakuwa ametimiza ndoto yake ya kushiriki Sakramenti ya Ushirika...

Kikosi cha dharura chawekwa Bomet kusubiri mikasa ya El-Nino

NA LABAAN SHABAAN KAUNTI ya Bomet haiko tayari kushuhudia marejeleo ya tukio la msururu wa mafuriko ya Chepalungu Aprili 2023. Wakati...

Wanaume hutumia muda mwingi kuchakura mitandao, kushiriki shughuli za kujipenda, utafiti wabaini

NA MERCY KOSKEI WANAUME hutumia muda mwingi kuchakura mitandaoni kuliko wanawake, Ripoti ya Matumizi ya Muda, ya Shirika la Kitaifa la...

Taharuki punda zaidi ya 30 wakichinjwa Kitui na nyama kutoroshwa

Na BONIFACE KANYALI Hali ya mshikemshike imetanda katika Kaunti ya Kitui haswa maeneo ya Mwingi baada ya gari aina ya pickup...

Nyota ya Kawira Mwangaza yazidi kufifia, akikamatwa kwa kuhudhuria mkutano wa “Okolea”

Na DAVID MUCHUI Kioja kimeshuhudiwa Jumatano Oktoba 18, 2023 eneo la Imenti ya Kati wakati Gavana Kawira Mwangaza alipokamatwa na...

Mwanamuziki maarufu Muhiko Nebster aaga dunia

NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI maarufu wa nyimbo za injili kwa lugha ya Kikikuyu kutoka eneo la Kati, Muhiko Nebster, ameaga dunia. Mmoja...

Wanaume wawili wananitaka, sijui nichague yupi kati yao; ninawapenda wote

SHANGAZI; Kuna wanaume wawili wanaonitaka kimapenzi. Nimechanganyikiwa kwa sababu kuna mambo tofauti ninayopenda kwa kila mmoja wao....

Wahubiri wakemea sheria ya kutoza maombi ushuru

NA WYCLIFFE NYABERI BAADHI ya wahubiri na makasisi mjini Kisii wamekerwa na mipango ya serikali ya kaunti hiyo kutoza ushuru makanisa...

Hospitali ya KNH yasema itatupa miili 253 jamaa wasipojitokeza kuichukua

NA MERCY KOSKEI HOSPITALI ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH) imetangaza kutupa miili ambayo haijachukuliwa katika vyumba vya kuhifadhi maiti...