• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Nasaka mwanamume ambaye atasubiri hadi ndoa ndio aonje tunda

SHANGAZI AKUJIBU: Nina umri wa miaka 21. Natamani kuwa na mpenzi lakini naogopa kwa sababu wanaume wengi hutaka kuonja asali haraka badala...

Mvua yatia hofu wakulima wa Uasin Gishu kuhusu mavuno

STANLEY KIMUGE na BARNABAS BII WAKULIMA katika eneo la Bonde la Ufa wanahofia hasara baada ya mvua ya masika kuanza kunyesha shuhudiwa,...

Raila achamba serikali kwa kuuzia wakulima ‘mbolea ya msaada’

NA RICHARD MAOSI Kinara wa Azimio Raila Odinga?raila amechamba serikali kwa kuwauzia raia mbolea, ambazo zimetolewa kama msaada na...

Wafanyabiashara wajenga vibanda visivyotakikana wakidai sababu ni ugumu wa maisha

NA SAMMY KIMATU WAFANYABIASHARA waliokuwa wamebomoa nyumba na vibanda vya kibiashara kupisha mradi wa ujenzi wa barabara ulioanzishwa na...

Mwanamume aua mkewe na pia kujiangamiza kwa sababu ya ujumbe wa WhatsApp

Na SHABAAN MAKOKHA Mwanamume mwenye umri wa miaka 47 katika kijiji cha Kamasai, kwenye mpaka wa kaunti za Kakamega na Uasin Gishu...

Joto la siasa za urithi laenea Tharaka Nithi mwaka mmoja tu baada ya uchaguzi

Na ALEX NJERU Baadhi ya viongozi wa Kaunti ya Tharaka Nithi wameibua wasiwasi kuhusu hali ya joto la kisiasa la urithi wa ugavana mwaka...

Hospitali Eldoret yashangazwa na idadi kubwa ya vijana wanaojaribu kujiua

NA TITUS OMINDE Hospitali ya Mafunzo na Rufaa ya Moi (MTRH) imelezea hofu kuhusiana na idadi kubwa ya vijana wanaojitoa uhai huku nusu...

Mabilioni yasubiri watu binafsi serikali ikifungua milango ya usimamizi wa bandari

NA ANTHONY KITIMO KAMPUNI za kibinafsi zitaanza kufaidika na mabilioni ya pesa za usimamizi wa bandari nchini, baada ya serikali ya...

Kiongozi wa Upinzani Tanzania Tundu Lissu ashukuru polisi kumkamata ‘kistaarabu’

Na MUSSA JUMA, Mwananchi Communications Limited Naibu Mwenyekiti wa chama cha Upinzani Chadema, Tundu Lissu na viongozi wengine wa chama...

Mwanamuziki maarufu wa injili ajikwaa na kuzama tena ulevini, alazwa hospitalini

NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI maarufu wa nyimbo za injili kutoka eneo la Kati, Bw Dennis Mutara, amelazwa hospitalini, duru zikieleza...

Wanaotumia bangi Kenya wameongezeka pakubwa katika miaka mitano – Nacada

Na MERCY CHELANGAT IDADI ya Wakenya wanaotumia dawa za kulevya, ikiwemo bangi, inazidi kuongezeka na kusababisha matatizo ya akili kama...

Familia yalilia haki baada ya jamaa kuuawa, kakake kujeruhiwa walipohudhuria disko matanga

Na KASSIM ADINASI Familia moja eneo la Umala, Ugunja, Kaunti ya Siaya inalilia haki baada ya jamaa yao kuuawa na kakake kupatwa akiwa...