• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 6:39 PM

Mbunge wa Kisumu Mashariki atishia kwenda korti kusimamisha usajili wa jeshi

Na ELIZABETH OJINA Mbunge wa Kisumu Mashariki Shakeel Shabbir ametisha kwenda kortini kutaka usajili wa makurutu wa Jeshi la Kenya (KDF)...

Hofu mvua ya El Nino ikinukia huku serikali ikijikokota

Na STANLEY NGOTHO_ WAKENYA sasa wana wasiwasi huku serikali ikikosa kuonyesha dalili za kujitayarisha kukabili athari za mvua ya El Nino...

Biashara ya utumbo wa samaki aina ya Sangara yanoga Homa Bay

Na GEORGE ODIWUOR Biashara ya utumbo wa sangara (Nile Perch) imevuma sana miongoni mwa wavuvi katika Ziwa Viktoria kuliko hata samaki...

ODM yaambia Jalang’o, waasi wenzake wakanyage nje

Na CHARLES WASONGA HATIMAYE kiongozi wa ODM, Raila Odinga amewaangushia mjeledi wabunge saba na madiwani wanne waasi wa chama hicho kwa...

Worldcoin iliingiza Sh2.5 bilioni nchini bila ufahamu wa CBK, kamati yaambiwa

NA CHARLES WASONGA JUMLA ya Sh2.5 bilioni ziliingizwa nchini na kutolewa na Wakenya ambao walijitokeza mwezi Agosti 2023 ili kupeana...

Nimripoti mama kwa babangu? Sababu nilimuona akichepuka na jirani yetu

SHANGAZI AKUJIBU: Vipi shangazi? Nina miaka 19. Nimegundua mama yangu ana uhusiano wa kimapenzi na mwanamume jirani yetu. Baba anafanya...

Afueni serikali ikiongezea wanafunzi muda kutuma maombi ya mkopo Helb

Na DAVID MUCHUNGUH WAZIRI wa Elimu Ezekiel Machogu jana aliongeza muda wa wanafunzi kutuma maombi ili kupata ufadhili wa elimu ya juu...

Hawa ni wezi wa watoto katika hospitali ya Mama Lucy, mahakama yathibitisha

Na RICHARD MUNGUTI WAFANYAKAZI wawili katika idara ya huduma za kijamii ya hospitali ya Mama Lucy Kibaki, Nairobi wamepatikana na hatia ya...

Wazee wa Mulembe wadai Ruto aliwaahidi urais akiondoka 2032

Na SHABAN MAKOKHA Imeibuka kuwa viongozi kutoka jamii ya Waluhya walikubali kumuunga mkono Rais William Ruto na serikali yake ya Kenya...

Wakenya wazimiwa fursa ya kutesa katika ‘TikTok Live’ kutoka Lebanon

NA CHARLES WASONGA WAKENYA wengi wanaoenda Uarabuni kufanya kazi wapatapo muda wa kupumzika huingia TikTok Live kwa makeke lakini hilo...

Nimeganda kwa mume wa mtu, nitajitoaje?

SHANGAZI AKUJIBU: Nina miaka 38 na nimeamua kutafuta mume ili nitulie maishani. Hata hivyo, nina uhusiano wa pembeni na mume wa mtu....

Bunge kuandaa kikao cha pamoja kwa mdahalo kuhusu mabadiliko ya tabianchi

NA CHARLES WASONGA BUNGE Jumatano, Septemba 6, 2023, litaandaa Mdahalo wa Wabunge kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi Afrika katika Majengo...