• Nairobi
  • Last Updated May 20th, 2024 9:16 PM

Kucheleweshwa fidia ndio chanzo cha mikosi katika ujenzi wa barabara – Wazee

NA KALUME KAZUNGU WAZEE kutoka jamii ya walio wachache ya Waboni, Kaunti ya Lamu sasa inadai kucheleweshwa kwa fidia ya vipande vyao vya...

Wasiwasi wakulima wa nafaka Bondeni wakifikiwa na KRA

NA BARNABAS BII TAHARUKI imegubika wakulima wa nafaka katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kuhusiana na mpango maalum wa kukusanya...

Mkasa mzito kwa familia kijana akiua mama, nyanya

NA GITONGA MARETE FAMILIA moja kutoka kijiji cha Ngeene, Kaunti ya Meru ilipata mshtuko baada ya kijana wa umri wa miaka 27 kuua mamake na...

Muuzaji wa gesi anyakwa kwa kuhatarisha maisha ya wakazi

NA SAMMY KIMATU MTU mmoja alikamatwa kwa kudaiwa kuendesha kituo haramu cha kuuza gesi akijua ni kinyume cha cheria na kuhatarisha...

Wezi sugu watumia watoto kutekeleza uhalifu Riruta

NA FRIDAH OKACHI WEZI sugu katika mitaa mbalimbali jijini Nairobi sasa wanatumia mbinu mpya ya kuwatumia watoto na vijana wa umri chini...

Uuzaji, usafirishaji makaa wadhibitiwa vikali Pokot Magharibi

NA OSCAR KAKAI NI marufuku kufanya biashara ya kuuza na kusafirisha makaa zaidi ya gunia moja kutumia pikipiki na magunia matatu kutumia...

Mwanamke azuiliwa kwa kupiga hadi kuua bintiye wa miaka 7

NA KEVIN MUTAI POLISI katika kaunti ndogo ya Lunga Lunga, Kwale wanachunguza kisa ambapo mwanamke wa umri wa miaka 30 alimpiga hadi...

Hoja yalenga kumng’atua waziri wa Ardhi Taita Taveta

NA LUCY MKANYIKA UTAWALA wa Gavana wa Taita Taveta Andrew Mwadime umeanza kukabiliwa na mawimbi makali baada ya hoja ya kumng’atua...

Mshonaji viatu atoa ardhi ya kujengwa shule

NA MAUREEN ONGALA UMASKINI mkubwa unaoendelea kuwakumba wenyeji na wakazi wa Kaunti ya Kilifi umechangia pakubwa...

Punda wakamatwa kwa kufunza watoto tabia mbaya

NA KALUME KAZUNGU WAMILIKI wa punda ambao huwaachilia wanyama hao kurandaranda ovyo mitaani kisiwani Lamu huenda wakaanza kuadhibiwa kwa...

Mwadime awatetea mawaziri wanaoshinikizwa kujiuzulu kwa kuzembea

NA LUCY MKANYIKA GAVANA wa Kaunti ya Taita Taveta Andrew Mwadime amewapuuza wakosoaji wake wanaomlaumu kwa kushindwa kuboresha sekta ya...

Hafla za mazishi Kisii zageuzwa jukwaa la viongozi kurushiana matusi

NA WYCLIFFE NYABERI WANASIASA na viongozi wa mirengo kinzani kutoka Kaunti ya Kisii sasa wameanza kugeuza hafla za mazishi majukwaa ya...