• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 7:02 PM

Bungei akataa kuzungumzia tukio la mshukiwa wa mauaji kutoroka seli

NA SAMMY KIMATU KAMANDA wa Polisi katika Kaunti ya Nairobi Adamson Bungei mnamo Ijumaa alikataa kuzungumzia kisa cha mshukiwa wa mauaji ya...

Jeti ‘Mama Lao’ Lamu hatarini kuporomoka

NA KALUME KAZUNGU TAKRIBAN Sh400 milioni zinahitajika ili kuikarabati jeti 'Mama Lao' inayofahamika kama Fisheries na ambayo ni ya...

Mwalimu ajiua kwa kukataliwa na ex, aacha mke mjamzito

NA GEORGE MUNENE MWALIMU wa shule ya sekondari kutoka kijiji cha Nthangathiri, Kaunti ya Embu, alijitia kitanzi ndani ya nyumba yake...

Fahamu msikiti maridadi zaidi kisiwani Lamu

NA KALUME KAZUNGU KISIWA cha Lamu ambacho ni ngome ya dini ya Kiislamu kina zaidi ya misikiti 40 inayopatikana kwenye maeneo au mitaa...

Huzuni miili ya mama kanisa ikifikishwa mochari ya Murang’a

NA MWANGI MUIRURI WINGU la simanzi lilitanda katika mochari ya Murang'a mnamo Jumanne wakati miili minne ya wanawake wahanga wa ajali...

Wakazi wa Kangai wateketeza baa ya mauti

NA GEORGE MUNENE WAKAZI wenye ghadhabu wameteketeza baa ambako watu sita Jumanne waliaga dunia huku watano wakipofuka macho kwa muda...

Serikali yafunga viwanda vitatu vya gesi Murang’a

NA MWANGI MUIRURI KAMATI ya usalama ya Murang'a Kusini ikiongozwa na Naibu Kamishna Gitonga Murungi ambaye pia ndiye mwenyekiti,...

Watu sita waaga dunia, watano wapofuka baada ya kubugia pombe ya sumu

NA MWANGI MUIRURI WATU sita wameaga dunia huku wengine watano wakipofuka macho kwa muda katika Kaunti ya Kirinyaga baada ya kubugia...

Hofu Kwale watoto wengi wakipata maambukizi ya macho mekundu

NA SIAGO CECE ZAIDI ya watu 300 wamepata maambukizi ya ugonjwa wa macho mekundu huku visa vya maambukizi hayo vikiongezeka katika Kaunti...

Biashara ya kumbi za kijamii yanoga mji wa Mokowe ukipanuka

NA KALUME KAZUNGU WAWEKEZAJI mjini Mokowe wameibukia biashara ya kujenga na kukodisha kumbi za kijamii ambayo inaonekana kufanya vyema...

Mama kanisa watano wafariki ajalini wakitoka eneo spesheli la Marian

NA MWANGI MUIRURI WINGU la simanzi limetanda katika Kanisa Katoliki tawi la Kaunti ya Murang'a baada ya mama kanisa watano kuaga dunia...

Lamu: Wanaowapa wendawazimu taka kutupa ovyo mjini waonywa

NA KALUME KAZUNGU MANISPAA ya kisiwa cha Lamu imeanzisha msako wa wakazi ambao wanadaiwa kuwabebesha wendawazimu na watu wenye matatizo ya...