• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 4:55 PM

Machafuko Sudan yasababisha changamoto kubwa za kibinadamu

Na MASHIRIKA KHARTOUM, Sudan MILIO ya risasi iliendelea kusikika Ijumaa jioni katika jiji kuu Khartoum ingawa awali, wanajeshi wa...

Jinsi mahakama nchini Nigeria ilivyoagiza jogoo msumbufu achinjwe

Na MASHIRIKA HAKIMU wa mahakama moja Kaskazini mwa Nigeria alitoa hukumu ya kifo kwa jogoo mmoja aliyeshtakiwa kwa kuwakosesha majira...

Makabiliano Sudan watu zaidi ya 50 wakiuawa

NA MASHIRIKA KHARTOUM, SUDAN SAUTI za milipuko ya risasi jana ziliendelea kusikika kwa siku ya pili katika mji mkuu wa Sudan,...

Aliyeanika nyaraka zinazoonyesha ‘Ruto si mtu wa kuaminika’ ashtakiwa

NA MASHIRIKA WASHINGTON DC, AMERIKA MFANYAKAZI wa kambi ya kijeshi ya Amerika Jack Teixeira, anayeshukiwa kutoa nyaraka za siri za...

Aachiliwa kwa dhamana katika kesi ya ulaghai wa shamba

Na RICHARD MUNGUTI DIWANI wa zamani Wadi ya Kabartonjo Kaunti ya Baringo anayekabiliwa na shtaka la kumlaghai Bw Joshua Kulei shamba la...

Dalai akemewa kwa kutaka mtoto amnyonye ulimi

NA MWANDISHI WETU CARDI B, mwimbaji wa nyimbo za rapu nchini Marekani amemkashifu vikali Dalai Lama, kiongozi wa kidini wa Watibet kwa...

Rubani asifiwa kwa kuzuia ajali licha ya mshtuko wa nyoka

Na AFP JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI RUBANI wa ndege moja iliyotua ghafla ila salama, baada ya kushtuliwa na nyoka jana alimiminiwa...

Paka ajumuika na waumini kwa swala ya Tarawehi

Na MASHIRIKA ALGIERS, ALGERIA KIOJA kilitokea nchini Algeria juzi paka alipopanda mabegani mwa Imam Sheikh Walid Mehsas wakati alipokuwa...

Waumini sugu ‘wasulubishwa’ kuadhimisha Pasaka

Na AFP SAN JUAN, UFILIPINO WAUMINI sugu wa Kanisa Katoliki 'wamesulubishwa' kwenye misalaba ya mbao huku wengine wakicharazwa mijeledi...

Mahasimu wanalenga kunizuia kuwania urais – Trump

Na MASHIRIKA ALBANY, NEW YORK RAIS wa zamani wa Amerika, Donald Trump, amejitetea akidai kuwa hatua ya kumshtaki inalenga kuhujumu azma...

Tukataeni ushoga, Museveni arai Waafrika

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA RAIS Yoweri Museveni wa Uganda amezirai serikali za Afrika kuongoza juhudi za kuongoza mpango wa kukataa...

Papa Francis aongoza Jumapili ya Mitende

NA MASHIRIKA VATICAN, VATICAN CITY PAPA Francis leo Jumapili amewaongoza maelfu ya waumini wa Kanisa Katoliki kusherehekea Jumapili ya...