• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 11:39 AM

Wanajeshi walevi DRC waua raia 15 bila hatia

NA AFP KINSHASA, DRC JUMLA ya watu 15 waliuawa na wanajeshi wawili walevi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo...

Mafuriko: Watu 63 bado hawajajulikana waliko

NA MASHIRIKA DURBAN, AFRIKA KUSINI IDARA za serikali nchini Afrika Kusini, jana Jumatatu zilisema kuwa zinaendelea kuwatafuta watu...

Suluhu kuzindua filamu yake Amerika kuvutia watalii kuzuru nchini Tanzania

NA THE EAST AFRICAN RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua filamu yake inayolenga kuvutia watalii nchini Tanzania. Filamu hiyo...

Saudia kuruhusu mahujaji milioni 1

NA AFP RIYADH, SAUDI ARABIA SAUDI Arabia jana Jumamosi ilisema itaruhusu mahujaji milioni moja wa Kiislamu kutoka ndani na nje ya...

DRC yajiunga rasmi na EAC

NA PSCU RAIS Uhuru Kenyatta na mwenzake Felix Tshisekedi jana Ijumaa katika Ikulu ya Nairobi walitia saini mkataba wa DR Congo kujiunga...

Mataifa 18 yapeleka silaha vitani Ukraine

NA MASHIRIKA KYIV, UKRAINE MATAIFA 18 yamesafirisha silaha za kivita nchini Ukraine, zikiwemo Amerika na Uingereza. Baadhi ya...

Amerika, EU wawinda mabinti wa Rais Putin

Na MASHIRIKA KYIV, UKRAINE AMERIKA na Muungano wa Mataifa ya Ulaya (EU) sasa zinalenga mabinti wa kiongozi wa Urusi Vladimir Putin...

Ukraine yaeleza kupata miili 410

NA AFP KYIV, UKRAINE UKRAINE imesema imepata miili 410 ya raia wake wanaoaminika kuuawa na vikosi vya Urusi kwenye maeneo iliyotwaa...

Ukraine yasema imetwaa jiji kuu

NA AFP KYIV, UKRAINE UKRAINE imesema kuwa “imechukua udhibiti” wa mji mkuu, Kyiv, baada ya vikosi vya Urusi kuanza kujiondoa...

Tumewaua wanajeshi 17,200 wa Urusi – Ukraine

NA MASHIRIKA KYIV, UKRAINE JESHI la Ukraine limedai kwamba limeua wanajeshi 17,200 wa Urusi tangu kuanza kwa mapigano hayo mwezi uliopita...

Ushindi dhidi ya ufisadi, Kenya ikirejeshewa Sh450 milioni kutoka Jersey

LONDON, Uingereza Na BBC SERIKALI ya Kenya itapokea Sh450 milioni, pesa za ufisadi ambazo zilikuwa zimefichwa katika kisiwa cha...

Biden: Tutamkomesha Putin!

NA MASHIRIKA WARSAW, POLAND RAIS Joe Biden wa Amerika, Jumamosi alimtaja Rais Vladimir Putin wa Urusi kuwa “kiongozi mkatili ambaye...