• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 4:28 PM

Vijana waliotaabika bila kazi walivyojijengea viota vya ajira kutoka kwa uyoga

NA LABAAN SHABAAN VIJANA waliotaabika bila kazi mjini Bomet wamepata afueni baada ya shamba la utafiti wa mimea kufanywa njia ya kutega...

Shughuli ya upanzi imekuwa rahisi tangu agundue mtambo huu

NA RICHARD MAOSI HUU ni msimu wa kupanda na wakulima wengi kutoka Kaskazini na kusini mwa Bonde la Ufa wameanza kuandaa mashamba yao kwa...

Sumu ya pareto inavyowapa wakulima utamu wa pesa

NA LABAAN SHABAAN KILIMO cha pareto kimefufuka tena baada ya kutoweka miaka iliyopita Kaunti ya Bomet. Hitaji la pareto viwandani na...

Hapa kupunjwa tu: Wakulima wanavyolazimishwa kurefusha magunia ya viazi

NA LABAAN SHABAAN KILIMO Biashara cha viazi kimenoga Kaunti ya Narok hasa eneo la Olorropil sehemu za kaskazini ya kaunti. Katika...

Mkulima aliyechanganya maparachichi ndani ya shamba la chai na matokeo ni tabasamu tu!

NA LABAAN SHABAAN WAKULIMA wengi wakiganda na majani chai eneobunge la Konoin Kaunti ya Bomet, Moses Limo ni mmoja wa wakulima...

Sasa kuna teknolojia ya kukwambia unavyoweza kutumia ardhi kwa manufaa zaidi

NA RICHARD MAOSI Ardhi ni zana muhimu kwa ajili ya kutosheleza mahitaji ya chakula nchini. Wataalam wanasema mbali na kuwa utajiri,...

Mkulima asema siri ya mafanikio iko kwa waru aina ya shangi

NA BENSON MATHEKA KATIKA kijiji cha Magutu, lokesheni ya Ngimini, Kaunti ya Nyandarua, Bw John Ndurere na familia yake wanashughulika...

Wito Serikali iwezeshe wakulima wadogo kutumia sola kwa uzalishaji

NA CHARLES WASONGA SERIKALI imetakiwa kuwawezesha wakulima wadogowadogo kutumia kawi endelevu yenye gharama nafuu ili kuwapunguzia...

Ugali wa Kenya ulivyovutia mgeni kuwekeza kwenye biashara ya viatu nchini

NA SAMMY WAWERU  VINCENT Ndayishemeze, ni kijana barobaro raia wa Burundi ambaye amekuwa nchini kwa muda wa mwaka mmoja.  Ni...

Wengi Lamu wakimbilia kazi ya kutoa magamba ya samaki

NA KALUME KAZUNGU WAKAZI wa Lamu wameibukia mbinu ya kupara samaki kama njia mojawapo ya kujipatia mtaji kukabiliana na hali ngumu ya...

Wakulima kutozwa ushuru wawasilishapo mazao kwa vyama vya ushirika

NA CHARLES WASONGA WAKULIMA na wafugaji sasa ndio tabaka la Wakenya ambao wataathiriwa na mzigo mzito wa kutozwa ushuru baada ya...

Mtaalamu wa IT auza biskuti akiendelea kusaka ajira

NA TOBBIE WEKESA MSIMU huu ambapo Wakenya wanajiunga na ulimwengu kusherehekea Krismasi na kuendelea na shamrashamra za kuukaribisha...