• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:33 AM

Ufugaji samaki wamfaidi licha ya changamoto tele

NA PAULINE ONGAJI MWAKA wa 2008, Bi Faith Kanaya Buluma, 55, mkazi wa kijiji cha Nangina, Kaunti ya Busia, aliamua kuelekea katika Ziwa...

SHINA LA UHAI: Hofu maambukizi ya TB yakiongezeka miongoni mwa wanaume

NA PAULINE ONGAJI MNAMO Agosti 29, 2023, Bw Alex Kinyanjui,19, mkazi wa eneo la Kaloleni, Voi, Kaunti ya Taita Taveta, aligundulika...

Tambua kwa nini ‘kabeji za kichina’ ndio mpango mzima kwa walio na kiu ya kutafuta pesa

NA RICHARD MAOSI 'Kabeji za Kichina' almaarufu pakchoy zinazidi kupata umaarufu humu nchini kutokana na manufaa yake mengi...

Utalipia kupata huduma katika Huduma Center, Waziri mpya wa Utumishi wa Umma atangaza

NA LABAAN SHABAAN WAKENYA watazidi kuchimba mifukoni kutoa pesa zaidi serikali ikitangaza misururu ya malipo kwa huduma za serikali...

Wataalam waonya kuhusu athari za tabianchi kwa kilimo na ufugaji

NA PAULINE ONGAJI KWA Bi Evelyn Maison, 37, mfugaji wa nyuki eneo la Laikipia, mabadiliko ya tabianchi yamekuwa changamoto kwa shughuli...

AKILIMALI: Huuzia wagonjwa maji moto kujipatia riziki

Na HEMED ABDALLAH UKOSEFU wa ajira miongoni mwa Wakenya wengi umechangia pakubwa watu kuibuka na mifumo na mbinu za kila aina katika...

Vijana waliozoea kula vya haramu kwa uhalifu wasema ukusanyaji taka umefanya jamii kuwakubali

NA FRIDAH OKACHI VIJANA wanne kwenye kundi linalojiita 'Kifagio' wamenufaika na mradi wa kuokota taka. Vijana hao ambao shughuli zao ziko...

Haya machenza ya kwake yanasubiri kuchumwa tu!

Na PETER CHANGTOEK KAUNTI ya Makueni inatambulika mno nchini kwa ukuzaji wa mimea ya matunda, kama vile michenza, miembe na michungwa....

Wakimbizi wanavyofaulu kuvuna donge jijini licha ya changamoto ya uraia

NA LABAAN SHABAAN Annociate Dusabe, 27, ni mmoja wa wakimbizi zaidi ya 80, 000 wanaosaka tonge na makao jijini Nairobi na safari yake ya...

Tanzania yatesa soko la kitunguu kwa ‘kususia’ kilimo

NA MWANGI MUIRURI WAKULIMA, madalali na wachuuzi wa kitunguu nchini wanaendelea kuvuna pato la juu lililoongezeka hadi kwa asilimia 875...

Wafugaji ng’ombe wa maziwa Gatundu waelimishwa kuhusu manufaa ya upandikizaji wa mbegu

NA LAWRENCE ONGARO WAFUGAJI wa ng'ombe wa maziwa wapatao 500 kutoka Gatundu walikongamana kwa mkutano wa hamasisho kuhusu ufugaji ambapo...

MITAMBO: Mtambo unaosaidia wakulima kufunga vitita vya nyasi

NA RICHARD MAOSI MTAMBO wa baler hutumika kushindilia nyasi na hatimaye kuunda vitita vya nyasi. Nyasi hizo maarufu kama hay, ni...