• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 11:15 AM

Wanavyogeuza taka kuwafaidi kimaisha

NA LABAAN SHABAAN AGHALABU taka na harufu mbaya ni taswira ya kawaida katika maeneo ya masoko mijini na hali si tofauti katika Soko la...

Uvumbuzi: Trekta inayotumika kwenye mashamba madogo

NA SAMMY WAWERU TEKNOLOJIA na mifumo ya kisasa kuendeleza kilimo ni miongoni mwa mbinu zinazotajwa kuchangia pakubwa ongezeko la...

NJENJE: Wakulima kupewa mbegu za GMO bila malipo mwaka 2023

NA WANDERI KAMAU  WAKULIMA nchini watapata mbegu za vyakula vilivyotengenezwa kisayansi (GMOs) kuanzia mwaka ujao, Kenya...

UJASIRIAMALI: Anahesabu mabunda ya noti kwa kuunda vinyago vya kipekee

NA CHARLES ONGADI KATIKA kituo cha kibiashara cha Mtwapa, Kaunti ya Kilifi kwenye barabara kuu ya Mombasa kuelekea Malindi, kuna vinyago...

MITAMBO: Mashini kusaidia kilimo endelevu kulinda mazingira

NA RICHARD MAOSI UTUMIZI wa mbinu bora za kuandaa shamba msimu wa upanzi, huwasaidia wakulima kuboresha udongo, rutuba na viumbe hai...

ZARAA: Mradi wa chuo kuwafaa wakulima wa Migori

NA LABAAN SHABAAN SHADRACK Otieno Obura ni mkulima wa mtama ambaye amenufaika na miradi ya majaribio ya kilimo unaoendelezwa na idara ya...

ZARAA: Siri yake ni bidii shambani na kusaka wateja mitandaoni

NA SAMMY WAWERU HELLEN Wanjiku ni mkulima hodari mwenye maono ya kujikuza zaidi kwa kuzamia shughuli hizo za shambani. Baada ya kufuzu...

OFAB yatuza wanahabari walioripoti vyema mfumo wa bioteknolojia kuboresha kilimo

NA SAMMY WAWERU WANAHABARI wa Kenya ambao wameonyesha umahiri katika kuripoti matumizi ya mfumo wa Bioteknolojia kwenye kilimo...

UFUGAJI: Mfugaji anayekumbatia kilimo-mseto afurahia matunda ya juhudi zake

NA PETER CHANGTOEK KATIKA shamba lenye ukubwa wa ekari tatu katika eneo la Iviani, karibu na barabara ya Kangundo, Kaunti ya Machakos,...

ZARAA: Waongezea maembe thamani kuvutia soko na faida zaidi

NA SAMMY WAWERU KWA muda mrefu wakulima wa mazao mabichi ya shambani wamekuwa wakikadiria hasara, kupoteza bidhaa hasa zinapofurika...

ZARAA: Jinsi miwa inavyotumika kuunda bidhaa tofauti

NA SAMMY WAWERU MWAKA wa 2017 Kenya ilipiga marufuku matumizi ya mifuko ya karatasi za plastiki. Miaka mitano baadaye, amri hiyo...

MITAMBO: Kifaa cha kukausha mazao kuwafaidi wakulima wadogo

NA RICHARD MAOSI  WAKULIMA wengi wamekuwa wakikabiliwa na changamoto za kuhifadhi mazao yao mara tu baada ya kuyavuna, jambo ambalo...