• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 7:45 AM

Viungo maalum vya nyama vinateka soko moto

NA SAMMY WAWERU VIUNGO maalum vya nyama za mifugo, vimethibitisha kuteka masoko yenye ushindani mkuu ndani na nje ya nchi. KenMeat,...

Nafasi ya kilimo cha miti kugeuza Kenya kuwa Sweden

Na SAMMY WAWERU SWEDEN, taifa la Nordic lililoko Scandinavian Peninsula Kaskazini mwa Bara Uropa ni mojawapo ya nchi utakayotamani...

Bernard Wanjohi Njathi: Mwanzilishi wa shirika la kusaidia wafugaji kuweka data muhimu

Na MAGDALENE WANJA BERNARD Wanjohi Njathi, 34, alikuwa na ndoto ya kuwa daktari lakini alipokosa, aliamua kusomea taaluma ya Usimamizi...

Mkulima Wangari Kuria ambaye amejizolea lakabu ‘Farmer on Fire’ kutokana na juhudi zake shambani

NA MAGDALENE WANJA MKULIMA Wangari Kuria anatambulika kwa jina 'Farmer on Fire', kutokana na juhudi zake shambani. Wangari pia...

Wanakuza Hass Avocado kuwafaa wakazi wa Gusii

NA WYCLIFFE NYABERI IKIWA umewahi kusafiri majira ya jioni kutoka Kisii kwenda Nairobi siku yoyote ile, huenda macho yako yalitua kwenye...

Mkahawa Solutions: Programu inayorahisisha biashara zinazohusu mikahawa

NA MAGDALENE WANJA JANGA la Covid-19 lilikuwa na mazuri yake kwa sababu kwa kiwango kikubwa liliamsha ari ya watu mbalimbali kukuna...

UJASIRIAMALI: Jinsi wazo la kutatua changamoto ya kiafya lilivyozaa biashara kubwa

Na MAGDALENE WANJA MNAMO mwaka 2020, Victor Kamau alitumia muda wake mwingi kufanya utafiti ili kupata dawa za kumtibu nduguye mdogo...

UJASIRIAMALI: Asema kuelewa mahitaji ya mteja ndio siri ya kutengeneza wavuti maridadi

Na MAGDALENE WANJA PATRICK Mugambi alianza biashara yake mnamo mwaka 2014 alipokuwa bado ameajiriwa katika kampuni ya kuundia wateja...

ZARAA: Hawasubiri misaada tu, wao wanajikuzia chakula

NA LABAAN SHABAAN MAKAO ya watoto ya Ruiru katika Kaunti ya Kiambu hayakai tu bure na kusubiri misaada kutoka kwa wahisani; inajisabilia...

Wanafuga samaki wa kiume pekee kufungia nje ushindani

NA PETER CHANGTOEK KATIKA umbali wa kilomita takribani 60 kutoka jijini Nairobi, shamba moja la ufugaji samaki linatambulika kwa wengi....

UJASIRIAMALI: Ana magari ya wateja kulipia wayatumie kwa muda fulani

NA MAGDALENE WANJA BAADA ya kufanya biashara za aina mbalimbali, ikiwemo ya mitumba, Bw Simon Kibe aligundua kuwa kulikuwa na pengo...

ZARAA: Kifaa cha mkono kuchuma chai, kupunguza gharama

NA SAMMY WAWERU MOJAWAPO ya changamoto kuu inayogubika wakulima wa majanichai eneo la Githunguri, Kaunti ya Kiambu ni gharama ya...