• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 2:16 PM

Mtangazaji Amina Abdi awatolea kucha wanaomsuta kwa kumtetea DJ Joe Mfalme

NA SINDA MATIKO MTANGAZAJI staa Amina Abdi kawatolea kucha wanaomsuta kwa kumtetea DJ Joe Mfalme ambaye anakabiliwa na kesi ya mauaji ya...

Wakenya kulipa Sh15,000 kupata kibali kupiga shoo Tanzania

NA SINDA MATIKO MSANII yeyote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayetaka kuenda kupiga shoo au kufanya kazi ya sanaa nchini Tanzania...

Habida Moloney: Nilitumia Sh500,000 kwa tiba ya koo kurejesha sauti

NA SINDA MATIKO MWANAMUZIKI Habida Moloney kafichua kuwa operesheni ya koo aliyofanyiwa mwezi Februari nchini India kuondoa uvimbe...

Mazishi ya Brian Chira yadhihirisha ushawishi mkubwa wa mitandao ya kijamii

NA WANDERI KAMAU MAZISHI ya ‘tiktoker’ Brian Chira yaliyofanyika Jumanne katika eneo la Githunguri, Kaunti ya Kiambu, yameonyesha...

Si lazima ujengewe nyumba ‘ushago’, mke wa pasta Ezekiel ashauri wanawake

NA FRIDAH OKACHI WANAWAKE wengi nchini huwa na msukumo wa kutaka kujengewa nyumba vijijini hata kama wanaishi mijini na waume...

Muziki: Wito kizazi cha sasa Kenya kiige kina Nameless, Jua Cali

NA WANDERI KAMAU KATIKA miaka ya 2000, Kenya ilisifika pakubwa kutokana na muziki wake wa kizazi kipya wakati huo, uliojulikana kama...

Vifo vya mapema vya Maceleb Kenya vilivyoshtua

NA SINDA MATIKO IJAPO mwaka ungali mchanga, tayari vimetokea vifo kadhaa vya ghafla vya mastaa vilivyowaacha Wakenya wengi na...

Marehemu Chongin Kale kukumbukwa kwa kuigiza jenezani

NA MWANGI MUIRURI MCHESHI Nicholas Rotich almaarufu Chongin Kale aliyefahamika vyema kupitia mzaha wake akilala ndani ya jeneza,...

Kukosa meneja sababu yangu kuanguka jukwaani – Stivo Simple Boy

NA FRIDAH OKACHI RAPA Stephen Otieno almaarufu Stivo Simple Boy, amesema kuondoka kwa meneja wake ndio sababu ya yeye kuanguka wakati...

‘Ladha ya ndoa ya wake wengi ni kuwa wa kwanza’

NA FRIDAH OKACHI MWANAMKE mmoja ambaye aliolewa mke wa tatu, amedai kwamba ladha ya ndoa ya aina hiyo ni “wewe mwanamke kuwa wa...

Muigai wa Njoroge: Mwanamuziki anayesifika kwa nyimbo za ‘kuilainisha jamii’

NA WANDERI KAMAU JINA la mwanamuziki Muigai wa Njoroge si jipya miongoni mwa Wakenya, hasa wakazi wa ukanda wa Mlima Kenya. Ni msanii...

Korti yampa Nyashinski siku 14 kuwasilisha mkataba wa dili tamu ya Tecno

NA SINDA MATIKO MAHAKAMA ya Milimani, Nairobi imempa mburudishaji Nyamari 'Nyashinski' Ongegu makataa ya siku 14 kuwasilisha mkataba wa...