NA FRIDAH OKACHI HARUSI ya mwanamuziki Kevin Kioko almaarufu Bahati na Diana Marua inanukia baada ya wawili hao ‘kupokea baraka’...
NA MERCY KOSKEI KENNEDY Rapudo, mpenziwe Faith Makau almaarufu Amber Ray, hatimaye amezungumza wiki moja baada ya madai kuibuka...
NA MWANAMIPASHO HAIKUWA ni lazima ila ilikuwa ni muhimu kwa lejendari Eliud Kipchoge kumpongeza dogo Kelvin Kiptum kwa kuivunja rekodi...
NA FRIDAH OKACHI VLOGA Andrew Kibe amesema ni heri kuelekeza 'maombi' yake kwa ibilisi kuliko kuingia kwa utumwa wa kutoa pesa nyingi...
MWANAMUZIKI Whozu amekiri kuwekwa na mpenzi wake Wema Sepetu. Kwa muda sasa, kumekuwa na tetesi kwamba Whozu hana kwake na kuwa kahamia...
NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI tatanishi wa nyimbo za injili ‘Embarambamba’ kutoka eneo la Gusii, sasa amerejea na kibao kipya kiitwacho...
NA FRIDAH OKACHI SENETA Maalum Karen Nyamu ametetea uhusiano wake na mwanamuziki Sammy Muchoki almaarufu Samidoh. Wawili hao wana...
NA FRIDAH OKACHI MSEMAJI wa serikali Isaac Mwaura amesema atabadilisha mtindo wa mavazi yake ambapo sasa ataweka kando jeans na mashati...
NA MWANDISHI WETU ZARI Hassan almaarufu The Bosslady, aliyekuwa mpenziwe mwanamuziki tajika wa Bongo Diamond Platnumz, alifunga ndoa na...
Na SINDA MATIKO MCHEKESHAJI MC Jessy anadai mfuko wake ulibondeka vibaya mno kwenye uchaguzi mkuu uliopita. Jessy aliwania kiti cha...
NA LABAAN SHABAAN KIJANA Sammy G K mwenye hamu na kiu ya kukua katika tasnia ya burudani ameanza kuona matunda ya kufanya challenge ya...
NA FRIDAH OKACHI MWANAMITINDO Milka Mukami amesafiri kuelekea nchini Ufilipino kwa shindano la urembo. Shindano hilo la wanamitindo...