• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 5:54 PM

Brown Mauzo na Vera Sidika kukutana uso kwa macho baada ya kurushiana cheche mtandaoni

NA FRIDAH OKACHI SOSHIOLAITI Vera Sidika na mwanamuziki Brown Mauzo wanatarajiwa kukutana kwenye hafla moja wikendi hii...

Babu Owino asema hajutii kuvuta bangi, kutumia mihadarati awali

NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Embakasi Mashariki Paul Ongili maarufu Babu Owino, hanywi tena pombe wala kutumia dawa za kulevya baada...

Tiktoker Nyako kwa mara ya kwanza azungumzia giza lililogubika familia yao

NA FRIDAH OKACHI 'TIKTOKER' Roseline Ngolo almaarufu Nyako Pilot, amezungumzia jinsi alivyowapoteza wazazi wake na dada wawili kutokana...

Sauti Sol kupiga densi ya mwisho leo na kuachana rasmi

HILARY KIMUYU na FRIDAH OKACHI  “Tumefanya mazoezi kwa ajili ya onyesho la mwisho la ‘Densi ya mwisho’ ya miaka 17,” alisema...

Mademu, hakikisheni mnazaa na wanaume walio na akili, Jackie Matubia ashauri

NA FRIDAH OKACHI Mwigizaji Jackie Matubia amesimulia mahangaiko ya kulea wanawe wawili bila kupata usaidizi wa baba zao. Bi Matubia ni...

Mwanaharakati Boniface Mwangi akaangwa mitandaoni baada ya kuhukumiwa kifungo jela kwa kuikaidi mahakama

NA FRIDAH OKACHI MWANAHARAKATI Boniface Mwangi amehukumiwa atumikie kifungo cha miezi miwili endapo atashindwa kulipa faini ya Sh300,000...

Nimerudi soko, atangaza Akothee akithibitisha kwa mara ya kwanza kuachana na mzungu

MERCY KOSKEI na FRIDAH OKACHI Mwimbaji na mfanyabiashara Esther Akoth almaarufu Akothee amethibitisha kuwa ndoa yake na Denis Schweizer...

Zari ashobokea shabiki aliyetapeliwa Sh24,000

NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA mashuhuri wa Uganda, anayeishi Afrika Kusini, Zari Hassan amefichua mazungumzo yake na shabiki mmoja...

Ex wa Diamond Hamisa Mobetto kufanya kazi na hasimu wa Wasafi, Konde Boy

NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI Hamisa Mobetto amesema anarudi kwenye muziki, akitarajiwa kushirikiana na mwanamuziki...

Diamond Platnumz amsifu Raila akisema mwanasiasa huyo ndiye ‘Baba Lao’

NA WINNIE ONYANDO MSANII maarufu wa Bongo Flava, Diamond Platnumz, katika mahojiano ya kipekee na Taifa Leo amefichua kuwa bado ana...

Guardian Angel afanikisha ndoto ya kumiliki studio ya kulea chipukizi wa Injili

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Guardian Angel amezindua studio ya lebo ya Seven Heaven Musics almaarufu 7HM itakayotumiwa na vijana na...

Marioo asema ameshapata Sh6 milioni za kumuoa Paula Kajala

Na SINDA MATIKO MWANAMUZIKI staa Marioo kakiri kwamba yupo tayari kulipa mahari ya Tsh100 milioni (Ksh6 milioni) kwa demu wake soshiolaiti...