• Nairobi
  • Last Updated December 6th, 2023 9:00 PM

Arati kwenye kinywa cha mamba Naibu wake akiungana na mahasimu

NA WYCLIFFE NYABERI Huenda msimamo mgumu wa Gavana wa Kisii Simba Arati wa kutowalipa wanakandarasi mabilioni ya pesa wanayodai serikali...

Jinsi Uhuru anavyolenga kupangua mahesabu ya Ruto

Na CHARLES WASONGA HUENDA Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta akaendelea kushawishi siasa za nchini kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027, na kugeuka...

NDIVYO SIVYO: ‘Kupiga maji’ si sawa na kufyatua choo kichafu

Na ENOCK NYARIKI KWENYE msala mmojawapo katika makazi ya wafanyakazi wa shirika la kibinafsi, yameandikwa maneno yafuatayo: “Tafadhali...

Wanaharakati: Serikali ya Ruto ilitumia Sh1 bilioni kusafirisha mawaziri kwa helikopta kupanda miti

NA CHARLES WASONGA VUGUVUGU la ‘Operation Linda Jamii’ limekosoa hatua ya serikali kuwatuma mawaziri kuongoza shughuli ya upanzi wa...

Ziara ya Mfalme: Ruto na Rigathi lawamani kwa kunyamazia mahangaiko ya Mau Mau

NA WANDERI KAMAU HATUA ya Mfalme Charles III wa Uingereza kukosa kuzungumzia malipo kwa Wakenya kutokana na mateso yaliyowakumba...

Sababu kuu kufurushwa kwa Kawira kunaweka uoga viongozi wa kike

NA WANDERI KAMAU WANAWAKE wanaohudumu kama magavana nchini wameanza kuwa na wasiwasi kuhusu hatima yao kisiasa, baada ya Gavana Kawira...

Niponge Nisiponge? Joshua Kutuny amegewa mnofu na Ruto licha ya kumpinga 2022

NA LABAAN SHABAAN INAONEKANA Rais William Ruto anaendelea kujenga ukuruba na wakosoaji wake kutoka ngome yake ya kisiasa ya Bonde La...

Ziara 38 ndani ya mwaka mmoja!

Na CHARLES WASONGA RAIS William Ruto ameendeleza mtindo wa mtangulizi wake, Rais (mstaafu) Uhuru Kenyatta wa kufanya ziara nyingi katika...

Handisheki ya kisiri ilishafanyika kitambo, ni picha hazikupigwa, Kanini Kega adai

NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Kanini Kega ameiponda serikali ya Rais William Ruto anayoishutumu kwa kuzidi...

Maridhiano ‘yapiga hatua’ Azimio wakikubali kushiriki mapumziko ya wiki nzima Nakuru

NA LABAAN SHABAAN SHUGHULI za Kamati ya Kitaifa ya Mazungumzo ya Maridhiano (NADCO) zinaonekana kupiga hatua. Hii ni kufuatia...

Kenya ina bahati kunichagua rais kuwaongoza wakati huu mgumu, Ruto asema

NA LABAAN SHABAAN RAIS William Ruto amesema kuwa yeye ndiye kiongozi anayefaa kuokoa nchi wakati wa hali ngumu ya kiuchumi. Wakenya...

Dalili Gachagua sasa anajipanga kulinda nafasi yake katika Kenya Kwanza

Na BENSON MATHEKA NAIBU Rais Rigathi Gachagua ameonekana kuanza kujipanga kisiasa kwa kujiweka katika nafasi bora ya kuibuka kuwa msemaji...