• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 7:55 AM

Kalonzo ajizatiti sasa kukubalika eneo la Mlima Kenya

NA MWANGI MUIRURI KIONGOZI wa Wiper anapojizatiti kuwa mrithi wa kiongozi wa upinzani Raila Odinga kuboresha azma yake ya kuwania urais...

Matamshi ya Uhuru kuhusu usaliti ishara angali na machungu ya 2022

Na CHARLES WASONGA KAULI ya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kwamba ulingo wa siasa umesheheni wasaliti imetajwa kama ishara kwamba bado...

SOKOMOKO: Kujitetea kwa Murkomen kuhusu ajali barabarani kwakera Wakenya

Na CHARLES WASONGA WIKI iliyoisha, Waziri wa Uchukuzi Kipchumba Murkomen alijipata motoni alipojaribu kujiondolea lawama kuhusiana na...

Uchanganuzi: Ujio wa Djibouti unaweza kuharibia Raila hesabu za kushinda kiti AUC

Na CHARLES WASONGA HATUA ya Djibouti kudhamini mgombeaji uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) imeongeza kiunzi kingine kwa...

Amejiokoa au kujimaliza? Sababu zitakazomfanya Mwangaza kuwa UDA kwa jina tu

Na CHARLES WASONGA TANGAZO la Gavana wa Meru Kawira Mwangaza kwamba amejiunga na chama cha United Democratic Alliance (UDA) limefasiriwa...

Hofu kuzaana kuongeza kura kutaangusha Mlima Kenya

NA MWANGI MUIRURI KINAYA kimezuka katika eneo la Mlima Kenya ambapo wanasiasa wamezindua mchakato wa kuwataka wenyeji wazaane kwa wingi...

Jinsi Bassirou Faye alivyolala ‘maskini’ na kuamka akiwa tajiri

MASHIRIKA Na WANDERI KAMAU USHINDI wa rais mteule wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, ni sawa na mtu kulala maskini na kuamka akiwa...

Muhoozi Kainerugaba: Je, Museveni anasimika familia kwa uongozi wa taifa?

NA WANDERI KAMAU JE, Rais Yoweri Museveni wa Uganda anapanga kuendeleza udhibiti wa familia yake katika uongozi wa taifa hilo? Mnamo...

Juhudi za Kalonzo kujivua ‘mikosi’ ya Raila

NA BENSON MATHEKA JUHUDI za sasa za kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka kupigia debe azma yake ya urais kivyake ni kutaka kujitoa...

Masharti ya Agikuyu kumkubali Gachagua kuwa msemaji wao

NA MWANGI MUIRURI  NAIBU Rais Rigathi Gachagua amekuwa akitatizika kuafikia lengo lake la kuwa msemaji wa eneo la Mlima Kenya licha ya...

Putin ajigamba kwa ‘jeuri’ baada ya ushindi mkubwa Jumapili

NA WANDERI KAMAU RAIS wa Urusi Vladimir Putin ametetea uvamizi nchini Ukraine na kuikosoa jamii ya kimataifa kwa kuingilia mzozo...

Je, Joho atarejesha nyota ya Pwani katika siasa za kitaifa?

NA WANDERI KAMAU TANGAZO la kiongozi wa Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga, kwamba atawaachia uongozi wa chama hicho magavana...