• Nairobi
  • Last Updated October 2nd, 2023 11:30 AM

WALIOBOBEA: Haji: Afisa wa utawala na mwanasiasa nguli

KWA HISANI YA KENYA YEARBOOK MOHAMMED Yusuf Haji alikuwa mmoja wa wakuu wa mikoa chini ya utawala wa chama cha KANU hadi 1997,...

KIGODA CHA PWANI: Uamuzi wa mahakama utaunganisha viongozi wa Kaunti ya Kwale

NA PHILIP MUYANGA BAADA ya Mahakama Kuu kuthibitisha kuchaguliwa kwa Bi Fatuma Achani kama gavana wa Kwale maoni tofauti tofauti...

JUKWAA WAZI: Uhuru, Methu waelekezeana mishale kuhusu suala la kulipa ushuru

NA WANDERI KAMAU KULIPA ushuru ni kujitegemea. Ndiyo kauli ya Halmashauri ya Kukusanya Ushuru Kenya (KRA). Hata hivyo, swali linaloibuka...

MIKIMBIO YA SIASA: Kujiuzulu Mwakwere kuumiza Wiper Pwani

NA CHARLES WASONGA USHAWISHI wa chama cha Wiper unatarajiwa kushuka katika eneo Pwani kufuatia kujiuzulu kwa mwenyekiti wake wa kitaifa...

JAMVI LA SIASA: Maasi ya Raila ni ‘moto wa karatasi’

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga anapotarajiwa kuongoza mkutano wa pili wa hadhara jijini Nairobi...

WALIOBOBEA: Soita aliifaulisha miradi mingi ya makao katika enzi ya Kibaki

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK PETER Soita Shitanda alikuwa kile ambacho waziri katika serikali ya Rais Mwai Kibaki alipaswa kuwa....

KIGODA CHA PWANI: Changamoto nyingi zasubiri mawaziri wateule wa Nassir

NA PHILIP MUYANGA HUKU wakitarajiwa kuhojiwa na bunge la kaunti na baadaye kuidhinishwa na kutwaa nafasi zao rasmi, mawaziri wateule wa...

MIKIMBIO YA SIASA: Pigo kwa Azimio Jubilee ikizidi kuzama Mlimani

Na CHARLES WASONGA MUUNGANO wa Azimio la Umoja-One Kenya umepata pigo jingine baada ya wabunge 10 wa Jubilee kutoka Mlima Kenya kuamua...

JUNGU KUU: Kiini cha Ruto kutaka kudhibiti IEBC mpya

NA CHARLES WASONGA KUPITISHWA kwa Mswada wa Marekebisho ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), 2022 katika Seneti Alhamisi sasa...

WALIOBOBEA: Suleiman Shakombo: DC mjanja wa siasa

KWA HISANI YA KENYA YEARBOOK SULEIMAN Rashid Shakombo hakuwa akifahamika kabisa eneo la Likoni kabla ya kujiunga na siasa mwaka wa...

Kahawa sasa yageuka kisiki Mlima Kenya

NA WANDERI KAMAU USIMAMIZI wa mikakati ya kuboresha zao la kahawa katika ukanda wa Mlima Kenya umegeuka kuwa chanzo cha makabiliano makali...

KIGODA CHA PWANI: Ziara ya Raila Mombasa kulinda ngome yake dhidi ya wimbi la KK

NA PHILIP MUYANGA JE ziara ya kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) Bw Raila Odinga jijini Mombasa wiki jana ilikuwa ni...