NA WANDERI KAMAU UREJEO wa kiongozi wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga, nchini unatarajiwa kuongeza shinikizo kwa Rais William Ruto...
NA BENSON MATHEKA MAZUNGUMZO kuhusu maridhiano yanayohusisha wabunge wa miungano miwili ya kisiasa nchini yameonyesha dalili za kugonga...
NA PHILIP MUYANGA JE kutokuwepo kwa aliyekuwa gavana wa Mombasa Hassan Ali Joho katika mikutano ya siasa ya muungano wa Azimio ya hivi...
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto anatekeleza mikakati mahsusi inayolenga kufifisha uasi unaoendeshwa na muungano wa Azimio la...
NA WANDERI KAMAU WENYEJI wa Mlima Kenya sasa wako kwenye njia panda, baada ya Naibu Rais Rigathi Gachagua kusema kuwa ameanza kupata...
NA BENSON MATHEKA UASI wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya dhidi ya serikali na wito wa kuvunjwa kwa vyama tanzu vya Kenya Kwanza...
NA WANDERI KAMAU JUHUDI za Rais William Ruto kumaliza ushawishi wa vyama tanzu vya kisiasa katika mrengo wa Kenya Kwanza zinaendelea...
NA WANDERI KAMAU MNAMO Septemba 2022, Rais William Ruto aliwaahidi Wakenya kwamba angepunguza matumizi ya fedha wizara na idara tofauti za...
NA WANDERI KAMAU MZOZO ambao umeibuka kuhusu kituo tata cha kibiashara cha China Square kilicho katika Chuo Kikuu cha Kenyatta katika...
NA WANDERI KAMAU WAANDANI wachache wa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta waliokuwa wamebaki katika ngome yake ya Mlima Kenya sasa wameanza...
NA PHILIP MUYANGA KUSIMAMISHWA kwa juhudi za gavana wa Mombasa Abdulswamad Nassir za kutaka kuongeza mapato ya kifedha ya kaunti kupitia...
NA CHARLES WASONGA SERIKALI itatumia Sh489 milioni zaidi, kila mwaka, kugharamia mishahara ya maafisaa wakuu wa serikali ikiwa Rais...