• Nairobi
  • Last Updated October 2nd, 2023 10:18 AM

Urais milele: Siri kali ya Ruto dhidi ya Azimio

NA BENSON MATHEKA INGAWA Rais William Ruto anasemekana kukanusha kwamba ananuia kubadilisha katiba ili kuongeza muhula wake wa kuhudumu...

MIKIMBIO YA SIASA: Mipasuko ya Mulembe ilivyomponza Kizito

NA CHARLES WASONGA MGAWANYIKO miongoni mwa wabunge kutoka jamii ya Waluhya (Mulembe) ulimkosesha aliyekuwa mbunge wa Shinyalu, Bw Justus...

JUNGU KUU: Mlima umeanza kumteleza Rais?

NA WANDERI KAMAU MASWALI yameibuka kuhusu iwapo Rais William Ruto ameanza kupoteza usemi wake katika ukanda wa Mlima Kenya, baada ya...

KIGODA CHA PWANI: Pwani waanza kutamauka kuhusu umoja wao kisiasa

NA PHILIP MUYANGA SUALA la umoja wa wanasiasa wa Pwani limekuwa likijadiliwa kwa muda mrefu, hususan kabla ya uchaguzi wowote mkuu ili...

WALIOBOBEA: Poghisio alivyoleta mageuzi katika sekta ya ICT Kenya

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK SAMUEL Losuron Poghisio alijiunga na Baraza la Mawaziri mnamo 2008, katika muhula wa pili wa Rais Mwai...

KIGODA CHA PWANI: Uteuzi wa Omar, Shahbal katika EALA utawafufua?

NA MWANDISHI WETU JE, kupendekezwa kwa aliyekuwa muwaniaji wa kiti cha ugavana wa Mombasa, Hassan Omar na mfanyabiashara Suleiman...

MIKIMBIO YA SIASA: Kenya Kwanza yatishia kuzima Winnie Odinga

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto sasa anapania kuwapa mtangulizi wake Uhuru Kenyatta na kiongozi wa Azimio Raila Odinga, kichapo...

JUNGU KUU: Dau la Azimio laelekea kuzama

NA CHARLES WASONGA UKOSEFU wa uongozi thabiti ndani na nje ya bunge ndio chimbuko la misukosuko inayotishia kusambaratisha muungano wa...

Tamaa itakayosukuma Ruto kubadili katiba

NA WANDERI KAMAU IMEIBUKA kuwa dalili za mrengo wa Kenya Kwanza kupanga mageuzi ya Katiba ili kumwezesha Rais William Ruto kuendelea...

JAMVI LA SIASA: Sasa ni maisha ya baridi kwa ‘mayatima’ wa Uhuru

NA WANDERI KAMAU WANASIASA na maafisa wakuu serikalini waliokuwa na ukaribu na Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta, sasa wameanza rasmi maisha...

JUNGU KUU: Muthama asuka njama mpya dhidi ya Kalonzo

NA BENSON MATHEKA VITA vya ubabe kati ya Kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka na Mwenyekiti wa chama cha United Democratic...

JUKWAA WAZI: Gachagua, Mutua walumbana kuhusu ‘msaada’ wa Raila kwa Ruto

NA WANDERI KAMAU JE, viongozi wa Kenya Kwanza wamemwomba kiongozi wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga, usaidizi wowote kuiendesha...