• Nairobi
  • Last Updated September 26th, 2023 10:25 PM

MIKIMBIO YA SIASA: Gumzo mtaani MaDVD kupewa afisi kichochoroni

NA CHARLES WASONGA UTATA umegubika uhalali wa cheo cha Kinara wa Mawaziri ambacho Rais William Ruto alimtunuku kiongozi wa ANC Musalia...

WALIOBOBEA: Noah Wekesa ni daktari aliyejaribu siasa akavuna

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK NOAH Mahalang’ang’a Wekesa alikutana na Mwai Kibaki katika Chuo Kikuu cha Makerere. Katika chuo hicho,...

Muhoozi: Ruto katika njia panda

NA WANDERI KAMAU MATAMSHI ya mwanawe Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kanairugaba, kwamba huenda akaishabulia Kenya na...

KIGODA CHA PWANI: Maendeleo Pwani yanahitaji umoja wa viongozi wa huko

NA PHILIP MUYANGA WAKATI wa kuchaguliwa kwa spika wa bunge la seneti, baadhi ya wabunge wa Pwani wa muungano wa Azimio la Umoja One...

MIKIMBIO YA SIASA: Faida na zigo la KK kama wengi bungeni

NA CHARLES WASONGA KUTAWAZWA kwa mrengo wa Kenya Kwanza (KKA) kuwa mrengo wa walio wengi katika bunge la kitaifa sasa kutamwezesha Rais...

JUNGU KUU: Ruto atakavyopanga ‘wazee’ Uhuru, Raila

NA BENSON MATHEKA RAIS William Ruto anapanga kuhakikisha kuwa mtangulizi wake Uhuru Kenyatta na mshirika wake katika Azimio la Umoja One...

WALIOBOBEA: Karume: Mhimili, rafiki wa dhati wa Mwai Kibaki

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK NJENGA Karume na Mwai Kibaki walikuwa marafiki wa dhati. Lakini jinsi Karume aliyeacha masomo akiwa darasa...

SOKOMOKO WIKI HII: Mbunge wa Mumias Mashariki PK Salasya aona mizungu ya Kizungu bungeni

NA CHARLES WASONGA KWA mara nyingine mbunge mmoja aliboronga Kiingereza bungeni wiki hii na kupelekea wenzake na Wakenya mitandaoni...

JUKWAA WAZI: Wandayi na Kamande watofautiana vikali kuhusu hotuba ya Ruto

NA WANDERI KAMAU JE, hotuba ya Rais William Ruto kwa Bunge la Kitaifa ilitimiza malengo iliyokusudiwa? Iliangazia masuala yanayowazonga...

MIKIMBIO YA SIASA: Raila amempisha Kalonzo kuongoza Azimio la Umoja?

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka anaonekana kama ambaye ndiye amechukua wajibu wa kuongoza muungano wa...

KIGODA CHA PWANI: Teuzi za Jumwa, Mvurya zaleta mkondo mpya kwa siasa za Pwani

NA PHILIP MUYANGA KUTEULIWA kwa Bw Salim Mvurya na Bi Aisha Jumwa katika baraza la mawaziri katika serikali ya Dkt William Ruto...

SOKOMOKO WIKI HII: Sabina akaangwa na Wakenya kwa kuhoji maombi bungeni

NA CHARLES WASONGA MBUNGE maalum Sabina Chege Alhamisi alijipata pabaya alipoelekezewa cheche za lawama na Wakenya mitandaoni kwa...