• Nairobi
  • Last Updated June 3rd, 2023 5:43 PM

MIKIMBIO YA SIASA: Faida na zigo la KK kama wengi bungeni

NA CHARLES WASONGA KUTAWAZWA kwa mrengo wa Kenya Kwanza (KKA) kuwa mrengo wa walio wengi katika bunge la kitaifa sasa kutamwezesha Rais...

JUNGU KUU: Ruto atakavyopanga ‘wazee’ Uhuru, Raila

NA BENSON MATHEKA RAIS William Ruto anapanga kuhakikisha kuwa mtangulizi wake Uhuru Kenyatta na mshirika wake katika Azimio la Umoja One...

WALIOBOBEA: Karume: Mhimili, rafiki wa dhati wa Mwai Kibaki

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK NJENGA Karume na Mwai Kibaki walikuwa marafiki wa dhati. Lakini jinsi Karume aliyeacha masomo akiwa darasa...

SOKOMOKO WIKI HII: Mbunge wa Mumias Mashariki PK Salasya aona mizungu ya Kizungu bungeni

NA CHARLES WASONGA KWA mara nyingine mbunge mmoja aliboronga Kiingereza bungeni wiki hii na kupelekea wenzake na Wakenya mitandaoni...

JUKWAA WAZI: Wandayi na Kamande watofautiana vikali kuhusu hotuba ya Ruto

NA WANDERI KAMAU JE, hotuba ya Rais William Ruto kwa Bunge la Kitaifa ilitimiza malengo iliyokusudiwa? Iliangazia masuala yanayowazonga...

MIKIMBIO YA SIASA: Raila amempisha Kalonzo kuongoza Azimio la Umoja?

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka anaonekana kama ambaye ndiye amechukua wajibu wa kuongoza muungano wa...

KIGODA CHA PWANI: Teuzi za Jumwa, Mvurya zaleta mkondo mpya kwa siasa za Pwani

NA PHILIP MUYANGA KUTEULIWA kwa Bw Salim Mvurya na Bi Aisha Jumwa katika baraza la mawaziri katika serikali ya Dkt William Ruto...

SOKOMOKO WIKI HII: Sabina akaangwa na Wakenya kwa kuhoji maombi bungeni

NA CHARLES WASONGA MBUNGE maalum Sabina Chege Alhamisi alijipata pabaya alipoelekezewa cheche za lawama na Wakenya mitandaoni kwa...

JUNGU KUU: Rigathi, Mudavadi wazozania wizara

NA WANDERI KAMAU HUENDA tofauti za kisiasa zilizoibuka kati ya Rais William Ruto na aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred...

Raia kupoteza Azimio isipong’ata bungeni

NA CHARLES WASONGA MUUUNGANO wa Azimio la Umoja-One Kenya unakabiliwa na kibarua kikubwa cha kukosoa serikali ya Rais William Ruto...

KIGODA CHA PWANI: Ni nani atakuwa macho na masikio ya Rais Ruto Pwani?

NA PHILIP MUYANGA HUKU rais mteule Dkt William Ruto akisubiri kutwaa mamlaka rasmi siku ya Jumanne atakapoapishwa,inasubiriwa kuonekana...

JUNGU KUU: Kibarua cha Raila na Uhuru kuokoa Azimio

NA BENSON MATHEKA VIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya, Uhuru Kenyatta na Raila Odinga, wanakabiliwa na kibarua kigumu kuudumisha...