• Nairobi
  • Last Updated December 4th, 2023 7:22 PM

GWIJI WA WIKI: Eunice Kemunto

Na CHRIS ADUNGO KISWAHILI ni miongoni mwa lugha kuu za Kiafrika zinazozungumzwa na idadi kubwa zaidi ya watu duniani. Sensa ya Canada ya...

TAMTHILIA: Mtiririko wa matukio katika Sehemu ya I, Onyesho la III

JUMA hili tuangalie mtiririko wa matukio katika Sehemu I, Onyesho III. Hapa ni nyumbani kwa Sara, jikoni. Mandhari huonyesha mahali. Dina...

MWALIMU WA WIKI: Kirika atamba si darasani si ugani

Na CHRIS ADUNGO MWALIMU bora ni rafiki wa wanafunzi wote anaowafundisha. Kutokana na ukaribu wao, wanafunzi huwa radhi kabisa kumweleza...

PAUKWA: Mchelea mwana kulia hulia yeye mwenyewe

NA ENOCK NYARIKI GIZA la kaniki lilitanda kote katika shule ya wavulana ya Jitahidi. Sauti pekee zilizosikika japo kwa aliyepita nje ya...

TALANTA YANGU: Dogo mkali wa kubofya piano

NA RICHARD MAOSI MAFUNZO ya namna ya kucheza piano huendeshwa hatua kwa hatua kwa sababu kila kibonye cha kibodi hutoa sauti tofauti. Kwa...

NGUVU ZA HOJA: Lugha ya Kiswahili ina uwezo wa kuimarisha umajumui wa mataifa ya bara zima la Afrika

NA PROF CLARA MOMANYI KARNE chache zilizopita, Kiswahili kilichukuliwa kama lugha ya watu wa chini kijamii. Kilichukuliwa kama lugha...

MWALIMU WA WIKI: Gikundi mwalimu tajiri wa hamasa

NA CHRIS ADUNGO MWALIMU mwenye wito wa kufundisha na mapenzi ya dhati kwa taaluma yake, ana jukumu zito la kuchochea wanafunzi wake...

TALANTA: Pacha waimbaji

NA WYCLIFFE NYABERI WIKI tatu zilizopita, pacha wawili wasichana waliteka hisia za waombolezaji katika ibada ya mazishi ya mamake...

PAUKWA: Ujanja wanusuru Msanii asifutwe kazi na Kaburu

NA ENOCK NYARIKI JIONI watalii na waelekezi wao walirejea vilipokuwa vyumba vya kupanga. Juma, mkuu wa Idara ya Parachuti, aliondoka...

Jared Mwanduka: Mwanzilishi wa programu ya LearnsoftERP inayorahisisha kazi shuleni

Na MAGDALENE WANJA HATA kabla ya kufuzu katika Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU) mnamo mwaka 2016, Jared Mwanduka tayari alikuwa amevumbua...

NGUVU ZA HOJA: Walimu wa lugha ya Kiswahili waandaliwe vyema kwa ajili ya Mtaala wa Kiumilisi (CBC)

NA PROF JOHN KOBIA WANAFUNZI wa gredi ya saba wanatarajiwa kuanza masomo yao ya sekondari ya awali Jumatatu wiki ijayo. Hawa ni...

Dhana ya Utamaushi inavyokuzwa katika ‘Chozi la Heri’

JUMA hili tutashughulikia namna wahusika mbalimbali katika riwaya ya ‘Chozi la Heri’ walivyotamauka. Ridhaa anatamauka kufuatia...