• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 9:50 AM

Siri ya kumudu Karatasi ya Pili ya KCSE Kiswahili kama mtahiniwa

Na CHRIS ADUNGO KARATASI ya Pili katika KCSE Kiswahili huwa na sehemu nne – Ufahamu, Muhtasari/Ufupisho, Sarufi na Matumizi ya Lugha na...

Mshairi anayeishi na ulemavu wa ngozi ajizolea sifa ndani na nje ya Lamu

NA KALUME KAZUNGU ALIDINDA kabisa kusalia ndani ya nyumba sawa na walemavu wengi ambao mara nyingi huishia kufichwa chumbani kutokana na...

Kaburi la bahati nzuri lavutia watalii kutoka pembe zote za dunia

NA KALUME KAZUNGU JINA la Mwanahadie Famau linatambuliwa na wengi, hasa katika jamii ya Waswahili Wabajuni wa asili ya Lamu. Ni mwanamke...

Kutana na Mzee Mohamed Mbwana Shee almaarufu ‘Kamusi ya Lamu Inayotembea’

NA KALUME KAZUNGU WELEDI wake na ufahamu wa ndani na nje kuihusu historia ya Lamu, jamii ya Wabajuni na maendeleo yao umewashinda hata...

Dini inavyokuza maudhui katika riwaya ‘Chozi la Heri’

NA JOYCE NEKESA JUMA hili tutarejelea suala la dini linavyoendeleza maudhui katika riwaya ya ‘Chozi la Heri’ tukirejelea swali...

GWIJI WA WIKI: Dkt Alexander Rotich

NA CHRIS ADUNGO KATI ya masomo yote aliyoyafanya Dkt Alexander Rotich katika Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCE) mnamo 1983,...

Ifahamu ngoma maalumu ya kujivunia ubikira wa wanawake wa Uswahilini

NA KALUME KAZUNGU KWA miaka mingi ngoma imesalia kuwa njia mwafaka ya waja kuhifadhi utamaduni. Ni kupitia ngoma ambapo jamii nyingi...

Fahamu chimbuko la Kiunga, mji wa Lamu Mashariki wenye historia ya zaidi ya miaka 1,000

NA KALUME KAZUNGU KWA anayeifahamu Lamu, Kiunga ni miongoni mwa miji maarufu ya jadi na ya asili inayotambulika hasa kwa shughuli za...

GWIJI WA WIKI: Dkt Timothy Kinoti

NA CHRIS ADUNGO TIMOTHY Kinoti M’Ngaruthi alizaliwa mnamo 1967 katika kijiji cha Kanthungu, Ruiri, Kaunti ya Meru. Ndiye kitinda mimba...

Shule yapata darubini, vifaa vingine sayansi ikigeuzwa ‘somo mswaki’

NA MAUREEN ONGALA SHULE ya Upili ya The Great Vonwald katika eneobunge la Kilifi Kaskazini inalenga kuwa kituo cha kutoa elimu ya...

Siku ya Kiswahili Duniani yaadhimishwa kwa njia ya kipekee Lamu

NA KALUME KAZUNGU SIKU ya Kiswahili Duniani imeadhimishwa kwa njia ya kipekee kisiwani Lamu ambapo wataalamu wa lugha hiyo, malenga,...

SIKU YA KISWAHILI DUNIANI: Sherehe kufana miji ya ndani na nje ya Kenya

Na CHRIS ADUNGO KILELE cha maadhimisho ya pili ya Siku ya Kiswahili Duniani (SIKIDU) kitashuhudiwa leo Ijumaa jijini Nairobi na Mombasa,...