TALANTA YANGU: Ngoi na msakata densi

NA PATRICK KILAVUKA KUWA ngoi wa nyimbo na kusakata densi ni mambo ambayo alikuwa anayachochea tangu akiwa mdogo. Hususan wakati...

MWALIMU WA WIKI: Mwalimu mbunifu katika ufundishaji

Na CHRIS ADUNGO UKIITIKIA wito wa kuwa mwalimu, basi fahamu kuwa taifa lote la kesho linakutazamia. Jamii nzima huwa imekuamini na...

Nzi kufa kidondani si haramu (sehemu ya 3)

NA ENOCK NYARIKI JANJA alikunja uso kama aliyehisi kitefutefu kisha akagogomoka kana kwamba alitaka kutapika. Janis, alimshukuru...

GWIJI WA WIKI: Catherine Kay

Na CHRIS ADUNGO CATHERINE Kanini Muthini almaarufu Catherine Kay ni miongoni mwa waimbaji wa nyimbo za injili wanaotumia Kiswahili kueneza...

MWALIMU WA WIKI: Ni mwalimu na mwandishi ibuka

Na CHRIS ADUNGO ZAIDI ya kufahamu uwezo wa kila mwanafunzi katika masomo mbalimbali, mwalimu anapaswa kuwa rafiki wa karibu wa...

MIZANI YA HOJA: Ukitaka kufanikiwa maishani shirikiana na watu wa mawazo na malengo sawa na yako

NA WALLAH BIN WALLAH MAISHA ya mwanadamu ni kama maji ya mto ambayo daima yanafuata mkondo na kuteremka kwenye mabonde kuelekea baharini...

PAUKWA: Ama kweli nzi kufa kidondani si haramu

NA ENOCK NYARIKI JANJA alikuwa amepita na kupituka takribani pembe zote za mji wa Leondani. Siku hiyo alivuka mtaro uliosomba uchafu...

USHAURI NASAHA: Thamini mazoezi ya kimwili hata sasa ufanyapo mtihani

NA HENRY MOKUA KILA shule inapojitahidi kuimarisha matokeo ya wanafunzi wayo masomoni hasa wakati huu wa mitihani ya kitaifa, nyingi...

NDIVYO SIVYO: Tofauti ya maneno angalau na aghalabu

NA ENOCK NYARIKI MARA nyingi, watu hujikuta wakilitumia neno ‘angalau’ katika muktadha wa ‘ingawa’ au ‘aghalabu’. Maumbo...

NGUVU ZA HOJA: Tuhifadhi kiteknolojia utajiri wa fasihi yetu ili tufae vizazi vijavyo

NA PROF CLARA MOMANYI FASIHI ni njia moja ya kuendeleza utamaduni wa jamii ambao pia ni ujumla wa maisha ya jamii hiyo. Kupitia kwa...

NGUVU ZA HOJA: Tuwafanye raia wa kigeni nchini kuwa mabalozi wema wa lugha ya Kiswahili

NA PROF IRIBE MWANGI JUMA lililopita Chuo Kikuu cha Nairobi kiliadhimisha Siku ya Wanafunzi wa Kigeni. Chuo kina wanafunzi wa kigeni...

MWALIMU WA WIKI: Ni mwalimu afunzaye kwa kutumia nyimbo

NA CHRIS ADUNGO MATUMIZI ya nyimbo darasani hufanya wanafunzi kuelewa mambo haraka, huwaamshia hamu ya kujifunza dhana mpya na huwafanya...