NA CHRIS ADUNGO JAPO Laura Nyamvula Rua ni mwanahabari kitaaluma, kinachompa riziki ya kila siku kwa sasa ni fani ya uanamitindo, fasheni...
NA PROF IRIBE MWANGI MAPEMA juma hili, nilimsikia Naibu Spika wa Seneti Mhe Kathuri Murungi akizungumza kuhusu matumizi ya Kiswahili...
NA PROF JOHN KOBIA MOJAWAPO ya masuala yanayoathiri dunia kwa sasa ni mabadiliko ya tabianchi. Kwa hakika mojawapo ya malengo ya...
NA WALLAH BIN WALLAH KOSA kubwa ambalo usifanye maishani ni kukata tamaa! Mafanikio hayaji ghafla kama mwangaza wa umeme...
LEO baadhi ya wahusika katika hadithi fupi ya Sabina iliyotungwa na Winnie Nyaruri Ogenche. WAHUSIKA Sabina Manoti, Nyaboke, Ombati,...
NA CHRIS ADUNGO MWALIMU bora anastahili kuwa mwajibikaji na mwepesi wa kuelekeza wanafunzi kimaadili huku akichangamkia vilivyo masuala...
NA PATRICK KILAVUKA KUWA ngoi wa nyimbo na kusakata densi ni mambo ambayo alikuwa anayachochea tangu akiwa mdogo. Hususan wakati...
Na CHRIS ADUNGO UKIITIKIA wito wa kuwa mwalimu, basi fahamu kuwa taifa lote la kesho linakutazamia. Jamii nzima huwa imekuamini na...
NA ENOCK NYARIKI JANJA alikunja uso kama aliyehisi kitefutefu kisha akagogomoka kana kwamba alitaka kutapika. Janis, alimshukuru...
Na CHRIS ADUNGO CATHERINE Kanini Muthini almaarufu Catherine Kay ni miongoni mwa waimbaji wa nyimbo za injili wanaotumia Kiswahili kueneza...
Na CHRIS ADUNGO ZAIDI ya kufahamu uwezo wa kila mwanafunzi katika masomo mbalimbali, mwalimu anapaswa kuwa rafiki wa karibu wa...
NA WALLAH BIN WALLAH MAISHA ya mwanadamu ni kama maji ya mto ambayo daima yanafuata mkondo na kuteremka kwenye mabonde kuelekea baharini...