• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Jared Mwanduka: Mwanzilishi wa programu ya LearnsoftERP inayorahisisha kazi shuleni

Na MAGDALENE WANJA HATA kabla ya kufuzu katika Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU) mnamo mwaka 2016, Jared Mwanduka tayari alikuwa amevumbua...

NGUVU ZA HOJA: Walimu wa lugha ya Kiswahili waandaliwe vyema kwa ajili ya Mtaala wa Kiumilisi (CBC)

NA PROF JOHN KOBIA WANAFUNZI wa gredi ya saba wanatarajiwa kuanza masomo yao ya sekondari ya awali Jumatatu wiki ijayo. Hawa ni...

Dhana ya Utamaushi inavyokuzwa katika ‘Chozi la Heri’

JUMA hili tutashughulikia namna wahusika mbalimbali katika riwaya ya ‘Chozi la Heri’ walivyotamauka. Ridhaa anatamauka kufuatia...

‘Wiki ya Lugha za Kiafrika’ ni mwamko mpya kuhusu nafasi ya lugha za kiasili katika elimu

NA BITUGI MATUNDURA MBONA tunaonea aibu lugha zetu za asili? Jibu la swali hili linapatikana katika kuitalii hali ya jinsi ambavyo...

MWALIMU WA WIKI: Martin Gitonga

Na CHRIS ADUNGO PAMOJA na kutumia vifaa vya kidijitali ambavyo husisimua wanafunzi, matumizi ya video, michoro na picha za rangi kupitia...

PAUKWA: Msanii afumaniwa na Kaburu pabaya

NA ENOCK NYARIKI ASUBUHI, Bwana Kaburu aliitembelea Idara ya Parachuti. Kama ilivyokuwa ada, shughuli zilikuwa nyingi huko kuliko...

MWALIMU WA WIKI: Njuguna ni mwalimu mwenye kiu ya utafiti

NA CHRIS ADUNGO MWALIMU anayejali maslahi ya wanafunzi anastahili kujiandaa ipasavyo kwa ajili ya somo lake. Ajitahidi kuhudhuria...

MAGWIJI WA WIKI: The Munenes

Na CHRIS ADUNGO MAURINE Nyawira Munene ni mke wa Dennis Munene Kabiru ambaye pia ni mhubiri na mwimbaji stadi wa nyimbo za...

MWALIMU WA WIKI: Mwalimu anafaa kuteka saikolojia ya wanafunzi

NA CHRIS ADUNGO KUFUNDISHA wanafunzi wa shule za msingi kunahitaji mwalimu kutumia mbinu mbalimbali zitakazompa majukwaa maridhawa ya...

PAUKWA: Ule mabaki ya watalii Kaburu ajue utakiona!

ENOCK NYARIKI FOLENI ya watalii iliendelea kuongezeka kwenye sehemu ya mapokezi ya mbuga ya wanyama ya Maasai Mara. Kwingineko...

GWIJI WA WIKI: Laura Rua

NA CHRIS ADUNGO JAPO Laura Nyamvula Rua ni mwanahabari kitaaluma, kinachompa riziki ya kila siku kwa sasa ni fani ya uanamitindo, fasheni...

NGUVU ZA HOJA: Nina matumaini matumizi ya Kiswahili katika Seneti yataendelea kushika kasi

NA PROF IRIBE MWANGI MAPEMA juma hili, nilimsikia Naibu Spika wa Seneti Mhe Kathuri Murungi akizungumza kuhusu matumizi ya Kiswahili...