• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 4:40 PM

Mhadhara wa kumuenzi Prof Ken Walibora sasa kufanyika Aprili 9

NA WANDERI KAMAU MHADHARA wa Umma wa kumuenzi marehemu Prof Ken Walibora, uliopangiwa kufanyika Aprili 10, 2024, umeratibiwa upya, ambapo...

Vijana wapiga matari kuamsha Waislamu kuandaa na kula daku

NA KALUME KAZUNGU WAISLAMU kisiwani Lamu wakilala usiku huwa hawana la kuhofia wala kuwatatiza kiakili kuhusu namna ya kuamka kuandaa na...

Mpeketoni yapona makovu ya mashambulio ya Al-Shabaab

NA KALUME KAZUNGU DOA jeusi lililosababishwa na shambulio la Al-Shabaab mnamo Juni 2014 linazidi kusafishwa na kuacha mji wa Mpeketoni...

Waumini wasifunge kwa sababu ni mazoea, wazingatie kumcha Mungu

NA KHAMIS MOHAMED KWA kweli Ramadhani ni mgeni mwenye siku za kuhesabika. Tayari Kumi la Kwanza limetuaga na la Pili linakwenda kwa kasi...

Nyota ya Waiguru yaendelea kung’aa tangu ajinasue kwa sakata ya NYS

NA WANDERI KAMAU KWA wengi, ingali fumbo kwamba Gavana Anne Waiguru (Kirinyga) ndiye mwenyekiti wa Baraza la Magavana (CoG). Naam,...

Polisi adaiwa kumjeruhi dereva ndani ya seli kwa bifu ya hongo

NA OSCAR KAKAI POLISI mmoja anatuhumiwa kumpiga na kumjeruhi vibaya dereva wa matatu inayohudumu kwenye barabara ya Kitale-Kapenguria...

Mwanamke aliyeangamia Shakahola na mtoto alitafuta mhubiri wa kufufua mumewe

NA WYCLIFFE NYABERI SIMANZI ilitanda katika kijiji cha Radienya, eneobunge la Nyatike, Kaunti ya Migori mnamo Alhamisi wakati wa mazishi...

AMINI USIAMINI: Kuku ni ‘mjukuu’ wa T-Rex

NA PETER MWORIA KUKU ndio viumbe wanaoishi ambao ni wa karibu sana na jamii ya viumbe walioangamia duniani walioitwa T-Rex. Viumbe hao...

Murang’a yapiga marufuku disko matanga, vileo wakati wa uchimbaji kaburi

NA MWANGI MUIRURI MAHASLA ambao wamekuwa wakipata afueni ya lishe, uji na disko katika matanga ya wafu katika vijiji vya Kaunti ya...

Mtangazaji Amina Abdi awatolea kucha wanaomsuta kwa kumtetea DJ Joe Mfalme

NA SINDA MATIKO MTANGAZAJI staa Amina Abdi kawatolea kucha wanaomsuta kwa kumtetea DJ Joe Mfalme ambaye anakabiliwa na kesi ya mauaji ya...

Mwanamume akejeliwa kwa kuruhusu mkewe kupanga uzazi

NA FRIDAH OKACHI WAVUMISHAJI wa afya ya jamii katika wadi za Heilu na Manyatta zilizoko mjini Moyale, Kaunti ya Marsabit, wanazidi...

Muhoozi Kainerugaba: Je, Museveni anasimika familia kwa uongozi wa taifa?

NA WANDERI KAMAU JE, Rais Yoweri Museveni wa Uganda anapanga kuendeleza udhibiti wa familia yake katika uongozi wa taifa hilo? Mnamo...