• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 8:50 AM

NJENJE: Matumaini kwa wakulima Kenya ikitarajiwa kuanza kuuza maparachichi China

NA WANDERI KAMAU MAMLAKA ya kusimamia mazao nchini China imemaliza mchakato wa kutathmini ubora wa maparachichi kutoka Kenya, hali...

MITAMBO: Mfumo wa maji ya kufugia samaki na kukuza mazao

NA RICHARD MAOSI MTINDO wa aquaponics ni mfumo wa uzalishaji chakula na kwa wakati huo mkulima anaweza kawafuga samaki hii ikiwa ni...

UJASIRIAMALI: Bidhaa zake zavutia wateja tele ughaibuni

NA LABAAN SHABAAN ÉCLAIR ni chapa ya Kenya yenye shauku ya kutengeneza bidhaa za watoto za viwango vya juu. Ilianza kama kituo cha...

ZARAA: Kilimo endelevu chamfaa nyanjani na kuinua mapato

NA SAMMY WAWERU CATHERINE Mbili amekuwa mkulima wa nafaka kwa zaidi ya miaka 25 Kaunti ya Makueni, eneo ambalo ni kame. Aliingilia...

Wavuvi walia nyavu mbovu zikipunguza samaki ziwani

NA PETER CHANGTOEK BAADHI ya wavuvi ambao huvua samaki katika Ziwa Victoria, wanalalamika kuwa, idadi ya samaki imekuwa ikipungua katika...

BORESHA AFYA: Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

NA PAULINE ONGAJI KULINGANA na wataalamu, nguvu za kiume zinazotokana na homoni za testosterone hupungua umri unavyosonga. Japo kuna...

PATA USHAURI WA DKT FLO: Kucha za miguu kugeuka nyeusi

Mpendwa Daktari, Kucha zangu za miguu zimebadili rangi na kuwa nyeusi. Je, kunani? Linet, Nairobi Mpendwa Linet, Kuna sababu...

MUME KIGONGO: Vitamini muhimu kwa wanaume wa kuanzia umri wa miaka 40

NA LEONARD ONYANGO WANAUME huanza kuandamwa na maradhi tele umri unapoongezeka. Hali hii inasababishwa na msongo wa mawazo na mtindo wa...

SHINA LA UHAI: Kisukari tishio kwa vijana pia

NA PAULINE ONGAJI UFAHAMU wa kisukari miongoni mwa Wakenya ni finyu sana ambapo wengi wao huhusisha ugonjwa huu na wazee, pasipo kujua...

MWALIMU WA WIKI: Mwalimu bora hufanya utafiti

NA CHRIS ADUNGO KIGEZO mwafaka zaidi cha kupimia upevu wa mwalimu ni upana wa uelewa wake wa masuala yanayofungamana na...

PAUKWA: Bahati amtapikia mamaye nyongo

NA ENOCK NYARIKI “KWA nini kila wakati baba hapendi kutimiza ahadi yake?’’ Bahati alimuuliza mama yake baina ya kilio cha...

TALANTA: Mwanamitindo chipukizi

NA RICHARD MAOSI NYOTA ya binti mdogo Quinn Anna Njoki kutoka Kaunti ya Nakuru inaendelea kung’aa. Yeye ni mmojawapo ya washiriki...