• Nairobi
  • Last Updated December 6th, 2023 9:00 PM

Yaya aliyetunza watoto vizuri nchini Lebanon apongezwa kwa kuizolea Kenya sifa nzuri

NA FRIDAH OKACHI YAYA Mkenya Rozah Rozalina Samson almaarufu 'Rosie', anayefanya kazi nchini Lebanon, amekuwa mtu maarufu mtandaoni...

Mvinyo wa ‘white wine’ unavyotumiwa kudumisha urembo wa ngozi

NA PAULINE ONGAJI TUNAPOKARIBIA msimu wa sherehe, mojawapo ya aina ya vinywaji ambavyo vinatarajiwa kutumiwa na wengi ni mvinyo...

Kanisa lafungisha ndoa za pamoja kusaidia kupunguza tabia za ukora wa kimapenzi Teso Kaskazini

KNA NA FRIDAH OKACHI Wanandoa 49 walifunga pingu za maisha katika misa Kaunti ndogo ya Teso Kaskazini iliyofanyika kwenye Kanisa la...

Ukitumia fomula za wanaojifanya wajuaji utaua penzi lako kwa umpendaye

NA BENSON MATHEKA JE, unadhani mpenzi wako hakupendi kwa dhati kwa sababu amekubania asali hadi usiku ambao mtaoana rasmi? Unadhani...

Mke wa mwanasoka Ezekiel Otuoma adhihirisha mapenzi ya dhati kwa kumtunza kipindi chote akiugua

NA FRIDAH OKACHI MKE wa mwanasoka Ezekiel Otuoma, Racheal Otuoma ameapa kamwe hatamuacha bali ataendelea kumfaa kipindi chote kigumu...

Sarah Kabu atumia Sh500,000 kuipa ngozi ulaini wa kipekee

NA FRIDAH OKACHI MENEJA Mkurugenzi wa kampuni ya kutoa huduma za usafiri wa kitalii, Bonfire Adventures, Sarah Kabu ameupa uso wake mng'ao...

Vidonge vya kuongeza nguvu za kiume ni njia ya kujipeleka mapema kaburini

NA BENSON MATHEKA VISA vya wanaume kufariki kwa kumeza vidonge vya kuongeza nguvu zao kiume ili kutamba chumbani vimeongezeka. Azma...

Hii hapa siri ya kujipatia ngozi ya kupendeza

NA PAULINE ONGAJI TATIZO la ngozi kuzeeka upesi hukumba baadhi ya watu ambapo husababisha wasiwasi hasa miongoni mwa akina dada. Shida...

Afichua siri kubwa ya wanawake wanaojiuza kimwili, akisema wengi wao huhatarisha afya zao kusudi wapate pesa

NA FRIDAH OKACHI KUSAKA pesa kupitia kujiuza kimwili kumesababisha wanawake wanaochukua hatua hiyo ambayo haijakubalika kimaadili,...

AMINI USIAMINI: Kuna ndege mchinjaji

NA MWORIA MUCHINA NDEGE anayeitwa red-backed shrike pia anafahamika kama ‘butcher bird’ ama ndege mchinjaji. Hii ni kwa sababu, ndege...

Kasisi wa Afrika Kusini anayeacha mabinti wa Kenya na kiu ya mahaba

NA MERCY KOSKEI KASISI mmoja kutoka Afrika Kusini amezua msisimko nchini, kutokana na video zake kwenye mtandao wa TikTok zinazomuonyesha...

AMINI USIAMINI: Jinsi bodaboda wa kiume wanavyobakwa na wateja wao wa kike jijini

NA FRIDAH OKACHI KATIKA harakati za kujitafutia riziki, wahudumu wa bodaboda nchini hukutana na wateja wa kila aina. Mhudumu mmoja wa...